Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Waziri Chana amuapisha Kamishna Ngorongoro, ampa maagizo mazito

Waziri Chana amuapisha Kamishna Ngorongoro, ampa maagizo mazito

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 23, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk. Pindi Chana amemuapisha na kumvisha cheo cha kijeshi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, CC Dk.…

Continue ReadingWaziri Chana amuapisha Kamishna Ngorongoro, ampa maagizo mazito
Read more about the article Mil.600 zatengwa kupeleka umeme Kijiji cha Ijinga – Magu

Mil.600 zatengwa kupeleka umeme Kijiji cha Ijinga – Magu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 23, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahakikishia wananchi wa Kijiji cha Ijinga kilichopo kwenye kisiwani katika kata ya Kahangara Wilayani Magu mkoani…

Continue ReadingMil.600 zatengwa kupeleka umeme Kijiji cha Ijinga – Magu
Read more about the article Bashungwa awajulia hali majeruhi ajali Biharamulo iliyoua 11 na kujeruhi 16

Bashungwa awajulia hali majeruhi ajali Biharamulo iliyoua 11 na kujeruhi 16

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 23, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amefika eneo ilipotokea ajali ya basi la abiria lenye namba za usajili T857 DHW, katika eneo la Kabukome katika Kata ya…

Continue ReadingBashungwa awajulia hali majeruhi ajali Biharamulo iliyoua 11 na kujeruhi 16
Read more about the article Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi sekondari Mwanza girls, aweka jiwe la msingi
Shule ya Sekondari Mwanza Girls

Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi sekondari Mwanza girls, aweka jiwe la msingi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 23, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Mwanza (Mwanza Girls’) na kuweka jiwe la msingi la msingi la shule hiyo iliyopo katika…

Continue ReadingWaziri Mkuu aridhishwa ujenzi sekondari Mwanza girls, aweka jiwe la msingi
Read more about the article Waziri mkuu akagua maendeleo ya mradi wa maji Bujora – Kisesa wilayani Magu

Waziri mkuu akagua maendeleo ya mradi wa maji Bujora – Kisesa wilayani Magu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 23, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Desemba 21, 2024 amewasili mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa tenki la kuhifadhi maji la Bujora –…

Continue ReadingWaziri mkuu akagua maendeleo ya mradi wa maji Bujora – Kisesa wilayani Magu
Read more about the article Gridi za Tanzania, Kenya kuimarisha upatikanaji wa umeme nchini

Gridi za Tanzania, Kenya kuimarisha upatikanaji wa umeme nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 23, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amesema kuimarika kwa mfumo wa Gridi za Umeme za Tanzania na Kenya kutasaidia kuimarisha upatikanaji wa umeme katika…

Continue ReadingGridi za Tanzania, Kenya kuimarisha upatikanaji wa umeme nchini
Read more about the article Daktari Dar ashinda Mil. 100 fainali NMB Bonge la Mpango

Daktari Dar ashinda Mil. 100 fainali NMB Bonge la Mpango

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 21, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

NA MWANDISHI WETU MSIMU wa Nne wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde ulioendeshwa na Benki ya NMB ‘NMB Bonge la Mpango – Mchongo Nd’o Huu,’ umefikia tamati Alhamisi ya…

Continue ReadingDaktari Dar ashinda Mil. 100 fainali NMB Bonge la Mpango
Read more about the article Mradi JNHPP wafikia asilimia 99.55, megawati 1,175 zaingizwa gridi ya Taifa

Mradi JNHPP wafikia asilimia 99.55, megawati 1,175 zaingizwa gridi ya Taifa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 20, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema utekelezaji wa Mradi wa Kufua umeme wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kwa ujumla umefikia asilimia 99.55 huku shughuli za uzalishaji wa umeme zikiwa…

Continue ReadingMradi JNHPP wafikia asilimia 99.55, megawati 1,175 zaingizwa gridi ya Taifa
Read more about the article Bukoba wamuangukia Biteko ujenzi wa uwanja wa ndege

Bukoba wamuangukia Biteko ujenzi wa uwanja wa ndege

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 19, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa kwa maandalizi mazuri ya Kongamano la Uwekezaji mkoani humo litakaloibua fursa…

Continue ReadingBukoba wamuangukia Biteko ujenzi wa uwanja wa ndege
Read more about the article Dk. Kiruswa asisitiza mradi wa Kudu Graphite kuanza kwa wakati

Dk. Kiruswa asisitiza mradi wa Kudu Graphite kuanza kwa wakati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 19, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesisitiza kuanza kwa wakati kwa Mradi wa Uchimbaji Madini ya graphite (kinywe) na kwa mujibu wa Matakwa ya Sheria ya Madini alipokutana na…

Continue ReadingDk. Kiruswa asisitiza mradi wa Kudu Graphite kuanza kwa wakati
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu