Wasira: Watanzania kataeni kuyumbishwa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi. Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali…
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi. Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewasilisha bungeni makadirio ya mapato kwa mwaka 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Aprili 16, 2025 amefika na kukagua eneo la Matandu na Somanga Mtama barabara kuu ya Dar es Salaam - Lindi yaliyokuwa yamekatika hivi karibuni kutokana…
KAMATI ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi ya Ilungu pamoja na shule mpya ya sekondari…
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wanawake nchini Tanzania wametajwa kuwa na mchango mkubwa katika Pato la Taifa ambapo takwimu zinaonesha kuwa asilimia 35 ya uchumi wa Tanzania unatokana na juhudi za…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sekta binafsi ina mchango mkubwa katika kukuza sekta ya utalii hapa nchini katika nyanja tofauti na…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu bora barani Afrika ambazo zimefanikiwa kuingiza timu zake kwenye michuano ya kimataifa zaidi…
Na Mwandishi wetu, Lindi Miradi ya ujenzi wa madarasa mawili yenye thamani ya shillingi millioni 60 katika kijiji cha Ngumbu wilaya ya Liwale mkoani Lindi inayotekelezwa na Serikali kupitia Mamlaka…
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Sebastian Simon Kapufi (CCM) ametoa wito kwa Serikali kuwaangalia vijana ili wasiwe tegemezi badala yake wawe nguvu kazi ya Taifa. Kapufi ametoa kauli hiyo…