NMB yadhamini mkutano mkuu maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Benki ya NMB imeshiriki kikamilifu kama mdhamini wa Mkutano Mkuu Maalum wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), unaofanyika mjini Songea, mkoani Ruvuma. Mkutano huo muhimu kwa…
