Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Balozi wa Tanzania nchini Uganda aridhishwa na kazi ujenzi bomba la mafuta

Balozi wa Tanzania nchini Uganda aridhishwa na kazi ujenzi bomba la mafuta

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 12, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

BALOZI wa Tanzania nchini Uganda, Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli, amewataka waandishi wa habari wa Tanzania kuchukua jukumu la kuripoti ujenzi unaoendelea wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki…

Continue ReadingBalozi wa Tanzania nchini Uganda aridhishwa na kazi ujenzi bomba la mafuta
Read more about the article EACOP waahidi kushirikiana zaidi na vyombo vya habari

EACOP waahidi kushirikiana zaidi na vyombo vya habari

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 1, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

UONGOZI wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrka ya Mashariki (EACOP) umesema kuwa unatambua umuhimu wa vyombo vya habari katka kuuhabarisha umma juu ya mambo mbalimbali yanayogusa jamii…

Continue ReadingEACOP waahidi kushirikiana zaidi na vyombo vya habari
Read more about the article NFRA yaja na mkakati wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka

NFRA yaja na mkakati wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 25, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Dk. Andrew Komba amesema taasisi hiyo imejipanga kuongeza uwezo wa maghala kuhifadhi nafaka kati ya tani 700,000 na milioni…

Continue ReadingNFRA yaja na mkakati wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi nafaka
Read more about the article Wasomi wafagilia utekelezaji wa mradi wa EACOP

Wasomi wafagilia utekelezaji wa mradi wa EACOP

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 25, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

WASOMI na wataalamu mbalimbali nchini wameelezea kuvutiwa kwao na utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) wakisema umekidhi vigezo vyote vinavyotakiwa kimataifa. Anaripoti Mwandishi…

Continue ReadingWasomi wafagilia utekelezaji wa mradi wa EACOP
Read more about the article NFRA yajivunia kufikisha mauzo ya nafaka tani mil. 1.7

NFRA yajivunia kufikisha mauzo ya nafaka tani mil. 1.7

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 20, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

MEELEZWA kuwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, uwezo wa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ulikuwa kuuza wastani wa tani 50,000 za nafaka, lakini…

Continue ReadingNFRA yajivunia kufikisha mauzo ya nafaka tani mil. 1.7
Read more about the article Ndege mpya ya Boeing iliyokwama jana kutua Zanzibar leo

Ndege mpya ya Boeing iliyokwama jana kutua Zanzibar leo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 20, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Ndege mpya ya Boeing B8787- Dreamliner iliyokwama kuwasili jana Jumatatu Agosti 19, 2024 kutokana na changamoto ya hali ya hewa sasa kupokewa leo Jumanne Zanzibar. Kwa…

Continue ReadingNdege mpya ya Boeing iliyokwama jana kutua Zanzibar leo
Read more about the article Mawakala wa forodha watakiwa kufanya kazi kwa uweledi, kuepuka rushwa

Mawakala wa forodha watakiwa kufanya kazi kwa uweledi, kuepuka rushwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 1, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amewataka mawakala wa forodha nchini kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na kujiepusha na vitendo…

Continue ReadingMawakala wa forodha watakiwa kufanya kazi kwa uweledi, kuepuka rushwa
Read more about the article Rais Samia azindua rasmi safari za SGR

Rais Samia azindua rasmi safari za SGR

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 1, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya uzinduzi rasmi wa safari za Treni ya kisasa ya umeme (SGR) kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma ambapo wachambuzi…

Continue ReadingRais Samia azindua rasmi safari za SGR
Read more about the article Meli ya mizigo kutoka China yatia nanga bandari ya Tanga

Meli ya mizigo kutoka China yatia nanga bandari ya Tanga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 30, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Tanga  MELI kubwa iliyobeba mizigo ya tani elfu 14 kutoka nchini China imetia nanga katika bandari ya Tanga Kwa mara ya kwanza  ikiwa na shehena za mizigo…

Continue ReadingMeli ya mizigo kutoka China yatia nanga bandari ya Tanga
Read more about the article Waziri Bashe azungumzia ujenzi wa vihenge, aipongeza TBA

Waziri Bashe azungumzia ujenzi wa vihenge, aipongeza TBA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 17, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Rukwa WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema sababu ya nusu ya mradi wa vihenge mkoani Rukwa kuchelewa kukamilika akitaja mgogoro uliotokea na mkandarasi, japokuwa tayari wametatua changamoto…

Continue ReadingWaziri Bashe azungumzia ujenzi wa vihenge, aipongeza TBA
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu