Rais Samia aanza ziara Dubai, ateta na mkuu wa shirika la utalii UN
Leo Jumanne, Februari 3, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza ziara ya kikazi nchini Dubai, UAE kwa kufanya mazungumzo na viongozi na wadau wa…
Leo Jumanne, Februari 3, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza ziara ya kikazi nchini Dubai, UAE kwa kufanya mazungumzo na viongozi na wadau wa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi…
Serikali ya Tanzania imefanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya (EU) jijini Brussels nchini Ubelgiji, hatua inayofungua zaidi milango ya kuimarika kwa diplomasia kati ya pande hizo. Katika…
Imechukua chini ya siku 100 kwa Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, kukamilisha maandalizi na kuzindua mpango mkakati wa kisayansi kuhakikisha mwanafunzi anakuwa na umahiri wa kusoma, kuandika…
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia 17 Novemba 2025, Matokeo hayo yametangazwa leo Jumamosi 31 Januari 2026 na Katibu Mtendaji wa…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema watumishi wa ajira mpya 8,416 kati ya 12,000 zilizoahidiwa na Rais Samia Suluhu Hassan wamepangiwa vituo…
Baraza la madiwani halmashauri ya Wilaya ya Magu limepitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo halmashauri iliomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi Bilioni 73.25…
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Magu wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, kufuatia serikali kutangaza rasmi kuanza kwa utekelezaji wa sheria hiyo nchini Januari…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uzinduzi wa Mkakati wa Kisayansi wa Kujenga Umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) umetekeleza lengo namba nne kwenye malengo endelevu ya…
Na Mwandishi Wetu Magari yanayotoa huduma za kifedha ya Benki ya NMB, mahsusi kwa maeneo yenye changamoto ya upatikanaji wa matawi ya kawaida, sasa yamefikia jumla ya 15. Ongezeko hili…