Read more about the article RITA kuwanoa wajumbe Bodi za wadhamini mikoa sita
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bw. Frank Kanyusi Frank

RITA kuwanoa wajumbe Bodi za wadhamini mikoa sita

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi…

Continue ReadingRITA kuwanoa wajumbe Bodi za wadhamini mikoa sita

Baraza la madiwani Magu lapitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti sh. bilioni 73.25

Baraza la madiwani halmashauri ya Wilaya ya Magu limepitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo halmashauri iliomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi Bilioni 73.25…

Continue ReadingBaraza la madiwani Magu lapitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti sh. bilioni 73.25