Dkt. Samia aagiza haya kumuenzi Mtei
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza kuharakishwa kwa ujenzi wa barabara ya njia nne ya Tengeru hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kumuenzi Gavana wa kwanza wa…
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza kuharakishwa kwa ujenzi wa barabara ya njia nne ya Tengeru hadi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), kumuenzi Gavana wa kwanza wa…
Mwenyekiti wa mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka viongozi wa chama hicho na vyama vingine vya upinzani kushirikiana na Serikali kuleta umoja wa kitaifa. Katika…
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt Mwigulu Nchemba amesema Serikali haitakuwa kikwazo cha kuhakikisha nchi inakuwa moja na inasonga mbele, baada ya kupita katika changamoto. Akizungumza kwa niaba ya Rais Dkt…
Ilianza ahadi, ikafuata mipango na mikakati, hatimaye Watanzania kwa mara ya kwanza katika historia, watanufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote (BAW), utakaoanza kutekelezwa Jumatatu Januari 26, 2026…
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt Mwigulu Nchemba amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi ya ajira za walimu 7,000 aliyoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025.…
BENKI ya NMB imedhihirisha kiwango cha juu cha ubunifu, baada ya kuwa ya kwanza nchini kuzindua Teknolojia Mpya, ya Kisasa na Salama Zaidi ya Mfumo wa Malipo iitwayo NMB TAP…
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), imewataka Watanzania kuendelea kushikamana na misingi ya Taifa, hususan katika kipindi hiki ambacho nchi inatafakari matukio ya vurugu za Oktoba 29, 2025 kupitia Tume iliyoundwa…
Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwake, Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ataongoza upandaji wa miti utakaofanyika Januari 27, 2026 maeneo ya Bungi Kilimo Kizimkazi, Zanzibar. Kwa mujibu wa…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) anatarajiwa kuzindua Meli ya kisasa ya MV New Mwanza katika Bandari ya Mwanza Kusini kesho ijumaa tarehe…