Singida waipa kongole RITA kutoa vyeti vya kuzaliwa ndani ya masaa 48
Na Mwandishi wetu, Singida Wananchi mkoani Singida wameipongeza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa uboreshaji wa huduma mbalimbali , ikiwemo ya upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za…
