Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article NMB yafuturisha Z’bar, ikiahidi ‘kulea’ Yatima 106 Mwezi wa Ramadhani

NMB yafuturisha Z’bar, ikiahidi ‘kulea’ Yatima 106 Mwezi wa Ramadhani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekiri kuvutiwa na mchango mkubwa wa Benki ya NMB kwa makundi mbalimbali ya kijamii, ikiwemo kusaidia utatuzi wa changamoto za…

Continue ReadingNMB yafuturisha Z’bar, ikiahidi ‘kulea’ Yatima 106 Mwezi wa Ramadhani
Read more about the article SEforALL kuimarisha ushirikiano upatikanaji nishati endelevu

SEforALL kuimarisha ushirikiano upatikanaji nishati endelevu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa kuhusu matumizi ya nishati endelevu kwa watu wote unaofanyika nchini Barbados wameshauri kuimarishwa kwa ushirikiano wa kikanda na kimataifa ili kuwezesha upatikanaji wa nishati…

Continue ReadingSEforALL kuimarisha ushirikiano upatikanaji nishati endelevu
Read more about the article Majaliwa: Serikali itaendeleza mikakati kukuza sekta ya mifugo

Majaliwa: Serikali itaendeleza mikakati kukuza sekta ya mifugo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha sekta ya mifugo inakuwa endelevu na yenye tija. Amesema Rais Samia Suluhu Hassan mara zote ameweka msisitizo…

Continue ReadingMajaliwa: Serikali itaendeleza mikakati kukuza sekta ya mifugo
Read more about the article NBC yajidhatiti kushirikiana na halmashauri kudhibiti upotevu wa mapato

NBC yajidhatiti kushirikiana na halmashauri kudhibiti upotevu wa mapato

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kushirikiana na halmashauri  pamoja na mamlaka zote za tawala za mikoa na serikali za mitaa katika kuboresha ukusanyaji wa mapato…

Continue ReadingNBC yajidhatiti kushirikiana na halmashauri kudhibiti upotevu wa mapato
Read more about the article Biteko atua Barbados kunadi nishati safi

Biteko atua Barbados kunadi nishati safi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili nchini Barbados kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusu matumizi ya Nishati endelevu utakaofanyika katika jiji la Bridgetown kuanzia tarehe…

Continue ReadingBiteko atua Barbados kunadi nishati safi
Read more about the article Kapinga azindua namba ya bure ya huduma kwa wateja wa TANESCO

Kapinga azindua namba ya bure ya huduma kwa wateja wa TANESCO

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga leo Machi 12, 2025 amezindua namba mpya ya huduma kwa wateja (mchongo 180) itakayotumiwa na wateja bure bila malipo ili kupata huduma mbalimbali kupitia…

Continue ReadingKapinga azindua namba ya bure ya huduma kwa wateja wa TANESCO
Read more about the article CCM yaweka ukomo wa miaka 10 kwa bunge, udiwani viti maalumu

CCM yaweka ukomo wa miaka 10 kwa bunge, udiwani viti maalumu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imeridhia mapendekezo ya marekebisho ya kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya dola ikiwemo kuweka ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano…

Continue ReadingCCM yaweka ukomo wa miaka 10 kwa bunge, udiwani viti maalumu
Read more about the article RITA kuwanoa wajumbe  bodi, taasisi za wadhamini Dar 

RITA kuwanoa wajumbe  bodi, taasisi za wadhamini Dar 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar ves Salaam Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeandaa mafunzo maalum kwa wajumbe   wote wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi zilizosajiliwa RITA zilizopo Dar es Salaam  yakayofanyika  kwenye…

Continue ReadingRITA kuwanoa wajumbe  bodi, taasisi za wadhamini Dar 
Read more about the article Kamati ya usalama, watendaji kata magu wapigwa msasa kuhusu uraia, utawala bora

Kamati ya usalama, watendaji kata magu wapigwa msasa kuhusu uraia, utawala bora

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wizara ya Katiba na Sheria imetoa mafunzo ya utawala bora na uraia kwa kamati ya usalama ya wilaya ya Magu, wakuu wa idara mbalimbali za halmashauri na watendaji wa kata…

Continue ReadingKamati ya usalama, watendaji kata magu wapigwa msasa kuhusu uraia, utawala bora
Read more about the article NMB yaubeba mkutano wa 39 ALAT 

NMB yaubeba mkutano wa 39 ALAT 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imetoa jumla ya Sh170 milioni kama sehemu ya udhamini wa Mkutano Mkuu wa 39 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT).  Kiasi…

Continue ReadingNMB yaubeba mkutano wa 39 ALAT 
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu