Mawaziri waipongeza NMB kwa utendaji wake
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera na Uratibu)…
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera na Uratibu)…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewahakikishia wananchi kuwa limejipanga vizuri kuhakikisha hali ya ulinzi na usalama unaendelea kuimarika wakati wote wa shughuli za kuzima Mwenge wa Uhuru na baada…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameipongeza Shule ya Kimataifa ya Monti kwa kuwa mfano bora wa elimu ya kisasa na…
Utafiti unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika bonde la ufa la Afrika Mashariki umeonesha matumaini makubwa ya kupatikana kwa Mafuta na Gesi katika bonde hilo.…
Viongozi kutoka taasisi sita ikiwemo wizara, wamekutana kujadili njia za pamoja katika utekelezaji wa mradi mkubwa wa bwawa la Maji Kidunda. Lengo la kikao hicho ambacho kimefanyikia mkoani Morogoro ni kuhakikisha mradi…
Na Mwandishi Wetu, Mara Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa kiwanja cha ndege katika Mji wa Mugumu wilayani Serengeti ili kukuza na…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kushughulikia suala la upatikanaji wa Katiba Mpya, akisema ni takwa la makundi mbalimbali ya Watanzania. Dkt Samia amesema…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kufuatilia hali ya upatikanaji wa huduma ya majisafi katika…
Mwandishi Wetu, Dodoma MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ametaka jengo la Shule Jumuishi Bahi kukamilishwa kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa kama wadhamini wa ujenzi huo, Benki ya…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete leo Jumatano ametembelea Banda la NMB kwenye Maadhimisho ya wiki ya Vijana katika viwanja vya…