Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Dk. Mpango aifariji familia ya marehemu Nkondo

Dk. Mpango aifariji familia ya marehemu Nkondo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Makamu Dk. Philip Mpango na mwenza wake Mama Mbonimapaye Mpango wameifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Johnson Nkondo aliyekuwa Msaidizi wa Ofisi Mkuu - Ofisi ya Makamu wa…

Continue ReadingDk. Mpango aifariji familia ya marehemu Nkondo
Read more about the article Maonyesho ya ISUZU yahitimishwa kwa mafanikio wabunge, wadau wa usafirishaji watia neno

Maonyesho ya ISUZU yahitimishwa kwa mafanikio wabunge, wadau wa usafirishaji watia neno

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 17, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa magari ya ISUZU,…

Continue ReadingMaonyesho ya ISUZU yahitimishwa kwa mafanikio wabunge, wadau wa usafirishaji watia neno
Read more about the article Wakulima wajipatia  bilioni 347 kutoka NFRA

Wakulima wajipatia  bilioni 347 kutoka NFRA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakulima wa Tanzania wanaozalisha  mazao ya chakula na kuyauza kwa Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA)  wamelipwa bilioni 347   katika miezi minane iliyopita kuanzia  mwezi…

Continue ReadingWakulima wajipatia  bilioni 347 kutoka NFRA
Read more about the article TPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’  kwa matumizi bora ya Tehama

TPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’  kwa matumizi bora ya Tehama

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 16, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa tatu katika kundi la taasisi za umma zinazozingatia na kufuata miongozo na kanuni za Mamlaka ya Serikali…

Continue ReadingTPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’  kwa matumizi bora ya Tehama
Read more about the article Odinga abwagwa Uenyekiti Afrika

Odinga abwagwa Uenyekiti Afrika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga ameshindwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC). Katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkali uliofanyika leo Jumamosi, Februari…

Continue ReadingOdinga abwagwa Uenyekiti Afrika
Read more about the article Wanachama 2,439 wa ACT wajiunga na CCM

Wanachama 2,439 wa ACT wajiunga na CCM

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha Wanachama na Wananchi kujiandikisha na kujitokeza kwa Wingi kupiga Kura ili CCM ishinde kwa Kishindo.…

Continue ReadingWanachama 2,439 wa ACT wajiunga na CCM
Read more about the article Ummy Mwalimu: Wananchi jitokezeni mjiandikishe mchague viongozi bora

Ummy Mwalimu: Wananchi jitokezeni mjiandikishe mchague viongozi bora

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu (CCM) ametoa rai kwa wananchi wa jimbo hilo kujitoleza kwa wingi katika zoezi la kitaifa la uboreshaji wa daftari la…

Continue ReadingUmmy Mwalimu: Wananchi jitokezeni mjiandikishe mchague viongozi bora
Read more about the article Tanzania yakanusha kuuza bandari Bagamoyo kwa Saudia Arabia

Tanzania yakanusha kuuza bandari Bagamoyo kwa Saudia Arabia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 14, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Serikali ya Tanzania imesema haijaingia makubaliano na mwekezaji yeyote kwa sasa kwa ajili ya kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo. Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…

Continue ReadingTanzania yakanusha kuuza bandari Bagamoyo kwa Saudia Arabia
Read more about the article TCB Yaadhimisha Miaka 100 kwa Kuwekeza Katika Uvumbuzi wa Kidijitali

TCB Yaadhimisha Miaka 100 kwa Kuwekeza Katika Uvumbuzi wa Kidijitali

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake kwa kuahidi kuendelea kuwekeza katika uvumbuzi wa kidijitali na kuongeza ubora wa huduma kwa wateja wake kwa kudhamiria kuimarisha…

Continue ReadingTCB Yaadhimisha Miaka 100 kwa Kuwekeza Katika Uvumbuzi wa Kidijitali
Read more about the article Precision yajivunia Comoro kuwa kituo bora cha safari zake

Precision yajivunia Comoro kuwa kituo bora cha safari zake

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 13, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Meneja wa Precision Air nchini Comoro, Mohamed Rajab Juma ameeleza kuwa safari za Shirika hilo nchini Comoro katika mji wa Moroni, zinashika nafasi ya pili kwa faida kati ya safari…

Continue ReadingPrecision yajivunia Comoro kuwa kituo bora cha safari zake
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu