Kikwete: Dkt. Samia ni mama mwema anayejali wananchi
Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt Jakaya Kikwete amemtaja Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa mama mwema, anayejali changamoto za wananchi na mwepesi wa kuchukua…
Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt Jakaya Kikwete amemtaja Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa mama mwema, anayejali changamoto za wananchi na mwepesi wa kuchukua…
Na Mwandishi Wetu , Arusha Serikali ya Norway imeipongeza Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga – World Vegetable Centre (WorldVeg), Kanda ya Mashariki na Kusini…
Na Mwandishi Wetu, Manyara Mkuu wa Wilaya ya Kitete Bw Remidius Emmanuel amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la…
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya jana September 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika…
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma ya majisafi ndani ya eneo lake la kihuduma na kuendelea kupita mtaani kujiridhisha upatikanaji…
Kanisa Katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa Kanisa Katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama…
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kila kinachoahidiwa kinatekelezwa na Serikali, ndio maana hivi sasa huduma za matibabu ya kibingwa zinapatikana ndani…
Wananchi mbalimbali wamejitokeza kwenye banda la maonyesho la Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika maadhimisho ya siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea ukumbi wa Mlimani…
Na Mwandishi Wetu, Geita Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuuza majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja…
Kufuatia taarifa inayosambaa mitandaoni ikionesha wachezaji wa timu ya Pamba Jiji FC wakifanya mazoezi gizani katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na…