Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Bilionea na kiongozi wa kiroho Aga Khan afariki dunia

Bilionea na kiongozi wa kiroho Aga Khan afariki dunia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Bilionea na kiongozi wa kiroho Aga Khan amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88, limetangaza shirika lake la hisani la Aga Khan Development Network. Prince Karim Aga Khan alikuwa…

Continue ReadingBilionea na kiongozi wa kiroho Aga Khan afariki dunia
Read more about the article Wananchi, Vikundi vya Kijamii Wete Pemba vyapigwa msasa NMB Kijiji Day

Wananchi, Vikundi vya Kijamii Wete Pemba vyapigwa msasa NMB Kijiji Day

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

NA MWANDISHI WETU, PEMBA SERIKALI ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, imewataka Wananchi na Vikundi vya Kijamii na Ushirika Wilaya ya Wete, kuitumia vema Elimu ya Fedha na Huduma Jumuishi za…

Continue ReadingWananchi, Vikundi vya Kijamii Wete Pemba vyapigwa msasa NMB Kijiji Day
Read more about the article Injini za Airbus zaitia hasara ya bilioni 127/- ATCL kila mwaka

Injini za Airbus zaitia hasara ya bilioni 127/- ATCL kila mwaka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

WAKATI Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) likijinasibu kupata mafanikio katika huduma zake Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za ndege aina ya Airbus A220-300 ambazo…

Continue ReadingInjini za Airbus zaitia hasara ya bilioni 127/- ATCL kila mwaka
Read more about the article Waasi M23 wasitisha mapigano Kongo

Waasi M23 wasitisha mapigano Kongo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda wametangaza usitishaji wa mapigano kuanzia leo Jumanne huko mashariki mwa Kongo kwa sababu za kibinadamu. Haya yanafuatia miito ya njia salama ya…

Continue ReadingWaasi M23 wasitisha mapigano Kongo
Read more about the article Usambazaji umeme vitongojini wamefikia asilimia 52.3

Usambazaji umeme vitongojini wamefikia asilimia 52.3

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa hadi kufikia Januari, 2025, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekamilisha upelekaji wa umeme kwenye vijiji vyote 12,318 nchini na kwamba…

Continue ReadingUsambazaji umeme vitongojini wamefikia asilimia 52.3
Read more about the article JWTZ wapokea ndege ya kijeshi kutoka Falme za Kiarabu (UAE)

JWTZ wapokea ndege ya kijeshi kutoka Falme za Kiarabu (UAE)

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Stergomena Lawrence Tax leo amepokea ndege ya kijeshi kutoka Jeshi la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika kuimarisha ushirikiano baina…

Continue ReadingJWTZ wapokea ndege ya kijeshi kutoka Falme za Kiarabu (UAE)
Read more about the article Ndoa ya Yanga, Ramovic yavunjika, Kocha Singida abeba mikoba

Ndoa ya Yanga, Ramovic yavunjika, Kocha Singida abeba mikoba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

Klabu ya Yanga Sc imemtangaza Miloud Hamdi ambaye alikuwa Singida Black Stars mwenye uraia wa Algeria na Ufaransa kuwa kocha wake mpya akichukua mikoba ya Sead Ramovic ambaye anaondoka klabuni…

Continue ReadingNdoa ya Yanga, Ramovic yavunjika, Kocha Singida abeba mikoba
Read more about the article Tanzania mwenyeji mkutano wa SADC, EAC kuhusu vuta Kongo

Tanzania mwenyeji mkutano wa SADC, EAC kuhusu vuta Kongo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Jumuiya ya Maendeleo ya Afrika Kusini (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitafanya mkutano wa pamoja siku ya Ijumaa na Jumamosi juu ya mzozo katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya…

Continue ReadingTanzania mwenyeji mkutano wa SADC, EAC kuhusu vuta Kongo
Read more about the article Rais Afrika Kusini: Tutaendelea kuipiga ia Kongo

Rais Afrika Kusini: Tutaendelea kuipiga ia Kongo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa leo Jumatatu ameapa kuendelea kutoa msaada kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo licha ya wito wa nchi nzima wa kuondoa wanajeshi wake Congo kufuatia…

Continue ReadingRais Afrika Kusini: Tutaendelea kuipiga ia Kongo
Read more about the article Ujenzi Uwanja wa AFCON Arusha wafikia 25%

Ujenzi Uwanja wa AFCON Arusha wafikia 25%

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 3, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Arusha unaotarajiwa kutumika kwa ajili ya…

Continue ReadingUjenzi Uwanja wa AFCON Arusha wafikia 25%
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu