Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article REA yapamba maonesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini Geita

REA yapamba maonesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini Geita

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 21, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Geita Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekuwa kivutio pekee kwa taasisi za Serikali zinazoshiriki katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja…

Continue ReadingREA yapamba maonesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini Geita
Read more about the article Samia: Nichagueni nikamalizie kazi

Samia: Nichagueni nikamalizie kazi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 21, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amewaomba Watanzania na wananchi wa mkoa wa Ruvuma kumchagua ili akakamilishe kazi za utekelezaji…

Continue ReadingSamia: Nichagueni nikamalizie kazi
Read more about the article Ofisi ya Mwanasheria Mkuu waridhishwa kasi utekelezaji bwawa la Kidunda

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu waridhishwa kasi utekelezaji bwawa la Kidunda

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 19, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imetembelea mradi wa ujenzi wa bwawa la Kidunda, mkoani Morogoro huku ikisema wana nafasi ya kushauri na kusaidia mambo mbalimbali yakiwemo ya kimkataba. Mradi…

Continue ReadingOfisi ya Mwanasheria Mkuu waridhishwa kasi utekelezaji bwawa la Kidunda
Read more about the article NMB, RELIANCE wakabidhi fidia ya milioni 120 baada ya moto soko la Mashine Tatu

NMB, RELIANCE wakabidhi fidia ya milioni 120 baada ya moto soko la Mashine Tatu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

‎Na Mwandishi Wetu, Iringa ‎Wafanyabiashara 40 wa Soko la Mashine Tatu, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, waliopoteza bidhaa na mali zao kufuatia ajali ya moto, wamekabidhiwa hundi ya Shilingi milioni…

Continue ReadingNMB, RELIANCE wakabidhi fidia ya milioni 120 baada ya moto soko la Mashine Tatu
Read more about the article NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo. Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara…

Continue ReadingNMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora
Read more about the article Austria kutoa bilioni 60 kufadhili miradi ya umeme Tanzania

Austria kutoa bilioni 60 kufadhili miradi ya umeme Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Vienna Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit  imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa ajili…

Continue ReadingAustria kutoa bilioni 60 kufadhili miradi ya umeme Tanzania
Read more about the article DC Magu awaasa wananchi kudumisha amani, kuimarisha familia

DC Magu awaasa wananchi kudumisha amani, kuimarisha familia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuendelea kudumisha amani na utulivu hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka…

Continue ReadingDC Magu awaasa wananchi kudumisha amani, kuimarisha familia
Read more about the article Mkurugenzi DAWASA mtaa kwa mtaa kukagua huduma ya maji

Mkurugenzi DAWASA mtaa kwa mtaa kukagua huduma ya maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amefanya ziara ya kikazi kukagua hali ya upatikanaji wa maji katika Wilaya…

Continue ReadingMkurugenzi DAWASA mtaa kwa mtaa kukagua huduma ya maji
Read more about the article Samia: Ukipiga kura katulie nyumbani kudumisha amani

Samia: Ukipiga kura katulie nyumbani kudumisha amani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atahakikisha amani na utulivu vinatawala katika msimu wote wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Katika kauli yake hiyo,…

Continue ReadingSamia: Ukipiga kura katulie nyumbani kudumisha amani
Read more about the article Haya hapa maajabu ya mchanga unaooshwa Tanga

Haya hapa maajabu ya mchanga unaooshwa Tanga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Tanga Sekta ya madini nchini inaendelea kushuhudia mageuzi ya kuongeza thamani madini yakiwemo ya ujenzi kama mchanga na kufungua fursa nyingine mpya kwa wachimbaji wadogo wa mchanga…

Continue ReadingHaya hapa maajabu ya mchanga unaooshwa Tanga
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • …
  • 111
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu