Umeme wakatika tena Cuba nzima
Kwa mara nyengine, Cuba imekosa umeme nchi nzima kutokana na uchakavu wa miundombinu na uhaba wa mafuta kwenye mitambo ya nishati katika taifa hilo la Karibiki. Tukio hilo la jana…
Kwa mara nyengine, Cuba imekosa umeme nchi nzima kutokana na uchakavu wa miundombinu na uhaba wa mafuta kwenye mitambo ya nishati katika taifa hilo la Karibiki. Tukio hilo la jana…
Ethiopia imezindua rasmi Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance (GERD), mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika. Sherehe ya uzinduzi ilifanyika juzi Jumanne karibu na bwawa hilo katika eneo la…
Benki ya NMB imekabidhi jezi zenye thamani ya Shilingi milioni 36 kwa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi), ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za…
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasihi wananchi waendelee kumwamini kwa kumpa kura nyingi za ndiyo kutokana na mafanikio yaliyopatikana katika awamu yake ya kwanza…
Katika uwanja mdogo wa ndege wa Mazimbu, Morogoro, nilijikuta nikishuhudia jambo ambalo kwa wengi lingesikika kama hadithi tu. Hapa, kundi la vijana 13 wa Kitanzania wanapiga hatua kubwa kwa kutengeneza…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaomba wakulima wa mbaazi, choroko na dengu kuwa wavumilivu kuhusu mauzo ya zao hilo, akiwaahidi bei nzuri inakuja. Dkt…
Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam,…
Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amemtaja Mgombea urais wa chama hicho, Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa kiongozi mwenye utulivu, ujasiri na umakini wa pekee.…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) ili kujadili hali ya utekelezaji wa miradi ya Nishati inayofadhiliwa na shirika…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa ni sehemu ya uendelezaji…