Wahamiaji 500 waokolewa kisiwani
Mamlaka nchini Ugiriki zimesema wahamiaji zaidi ya 500 wameokolewa kwenye kisiwa cha kusini mwa nchi hiyo cha Crete, mojawapo ya malango yanayotumiwa na watu wanaotaka kuingia Ulaya kimagendo wakitokea Asia…
Mamlaka nchini Ugiriki zimesema wahamiaji zaidi ya 500 wameokolewa kwenye kisiwa cha kusini mwa nchi hiyo cha Crete, mojawapo ya malango yanayotumiwa na watu wanaotaka kuingia Ulaya kimagendo wakitokea Asia…
Na Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Ni takwa la kisheria kwa waombaji wa mikopo ya elimu kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuwa na namba ya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeendelea na programu yake ya NMB Kijiji Day kwa kishindo, ambapo matukio mawili makubwa yamefanyika kwa siku moja katika vijiji vya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amezindua soko la kisasa la nyama choma la Kumbilamoto Vingunguti, Ilala jijini Dar es Salaam na kushuhudia…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mohamed Mchengerwa amewaelekeza makatibu tawala na wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha maofisa habari ambao hawajapewa ofisi au…
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu inatarajia kutumia Sh milioni 92 kwa ajili ya utengenezaji wa madawati 1300 ambayo yanatarajiwa kusambazwa kwa shule za sekondari na msingi zenye uhaba wa samani…
NA MWANDISHI WETU, MBEYA SERIKALI imeipongeza Taasisi za NMB Foundation kwa kuendesha mafunzo kwa wakulima wa zao la kakao kutoka Vyama vya Msingi vya Ushirika wa Kilimo na Masoko (AMCOS)…
NA MWANDISHI WETU, GENEVA Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO kilichofanyika leo Jumapili, Mei 18, 2025 kimemchagua Profesa Mohamed Janabi kuwa Mkurugenzi wa Kanda wa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Madini Injinia Yahya Samamba kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Bw.Anthony Mavunde amezindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya Taasisi ya…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan sekta ya madini imepata mafanikio makubwa ikiwemo Benki Kuu ya…