Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Ufanisi Bandari Dar waileta kampuni ya ‘Volkswagen’ nchini

Ufanisi Bandari Dar waileta kampuni ya ‘Volkswagen’ nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 24, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KAMPUNI ya kutengeneza magari ya Volkswagen ya Ujerumani imeonesha nia ya kuitumia Bandari ya Dar es Salaam kusafirisha magari na vipuri baada ya kuitembelea…

Continue ReadingUfanisi Bandari Dar waileta kampuni ya ‘Volkswagen’ nchini
Read more about the article Mamia wanufaika kupitia Bonge la Mpango ya NMB

Mamia wanufaika kupitia Bonge la Mpango ya NMB

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 24, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imetoa mamilioni ya fedha na vifaa ikiwemo zana za kilimo, friji na TV huku ikisubiri mshindi atakayeibuka na Sh100 milioni. Zawadi hizo zimetolewa kwa…

Continue ReadingMamia wanufaika kupitia Bonge la Mpango ya NMB
Read more about the article  RC Chalamila akagua mradi BRT Bagamoyo, atoa maagizo kwa wakandarasi

 RC Chalamila akagua mradi BRT Bagamoyo, atoa maagizo kwa wakandarasi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 24, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amekagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Bagamoyo ya mwendokasi inayounganisha maeneo ya Tegeta, Mwenge, Ubungo na Mbezi na kuwataka wakandarasi…

Continue Reading RC Chalamila akagua mradi BRT Bagamoyo, atoa maagizo kwa wakandarasi
Read more about the article Waziri Mkenda aipa kongole NBC utoaji elimu ya fedha kwa wananchi

Waziri Mkenda aipa kongole NBC utoaji elimu ya fedha kwa wananchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 24, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Mbeya Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ameipongeza Benki ya NBC kwa jitihada na mkakati wake wa kutoa elimu kuhusu matumizi ya huduma rasmi…

Continue ReadingWaziri Mkenda aipa kongole NBC utoaji elimu ya fedha kwa wananchi
Read more about the article NMB, UDSM wakubaliana kukuza  ubunifu, mageuzi ya kidijitali kwa wanafunzi

NMB, UDSM wakubaliana kukuza  ubunifu, mageuzi ya kidijitali kwa wanafunzi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 23, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamesaini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano, unaolenga kukuza vipaji, ubunifu, uwekezaji katika mageuzi…

Continue ReadingNMB, UDSM wakubaliana kukuza  ubunifu, mageuzi ya kidijitali kwa wanafunzi
Read more about the article Daladala, magari madogo yaanza kupita mwendokasi

Daladala, magari madogo yaanza kupita mwendokasi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 23, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Mabasi ya abiria, magari madogo, bajaji na pikipiki yameanza kupita katika baadhi ya maeneo ya barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT II) inayoanzia Kariakoo hadi Mbagala mara baada ya Waziri…

Continue ReadingDaladala, magari madogo yaanza kupita mwendokasi
Read more about the article Uwekezaji bandari ya Tanga wazidi kulipa, yakusanya bilioni 18.6

Uwekezaji bandari ya Tanga wazidi kulipa, yakusanya bilioni 18.6

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 23, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

MATUNDA ya Uwekezaji wa Sh. 429 bilioni uliofanywa na Serikali katika Bandari ya Tanga umeanza kulipa kutokana na ongezeko kubwa la idadi ya meli zinazopitisha shehena kutoka meli 197 kwa…

Continue ReadingUwekezaji bandari ya Tanga wazidi kulipa, yakusanya bilioni 18.6
Read more about the article Sagini ipongeza RITA kuwanoa ma-DAS, maofisa ustawi wa jamii
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini

Sagini ipongeza RITA kuwanoa ma-DAS, maofisa ustawi wa jamii

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 22, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Katika jitihada za kupunguza migogoro isiyo na ulazima katika jamii, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini ameupongeza Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kutoa mafunzo ya…

Continue ReadingSagini ipongeza RITA kuwanoa ma-DAS, maofisa ustawi wa jamii
Read more about the article Ujenzi daraja la Jangwani waiva, Bashungwa ashuhudia utiaji saini

Ujenzi daraja la Jangwani waiva, Bashungwa ashuhudia utiaji saini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 22, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa leo tarehe 22 Oktoba 2024 ameshuhudia utiaji saini, ujenzi wa daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 litakalounganisha kipande cha Magomeni Wilaya ya Kinondoni…

Continue ReadingUjenzi daraja la Jangwani waiva, Bashungwa ashuhudia utiaji saini
Read more about the article Dk. Mpango ataka utafiti vijana kupenda ‘mashangazi’

Dk. Mpango ataka utafiti vijana kupenda ‘mashangazi’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 22, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango Makamu wa Rais ameitaka Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) pamoja na Watalaam wa fikra tunduizi kufanya utafiti kuhusu tabia za hivi…

Continue ReadingDk. Mpango ataka utafiti vijana kupenda ‘mashangazi’
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu