Trump azidi kung’ata, mamia wafutwa kazi usafiri wa nga
Utawala wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya usafiri wa anga na kusababisha hali ya taharuki kuelekea kwa wikiendi yenye shughuli nyingi za usafiri huo nchini…
Utawala wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya usafiri wa anga na kusababisha hali ya taharuki kuelekea kwa wikiendi yenye shughuli nyingi za usafiri huo nchini…
Rais Donald Trump amepeleka ombi la dharura katika Mahakama ya Juu ya Marekani ili iamue ikiwa ana mamlaka ya kumfukuza kazi mmoja wa viongozi waandamizi serikalini. Hampton Dellinger, mtendaji Mkuu…
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kuendeleza kasi ya…
Watumishi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro wametembelea Bandari ya Moroni kujione shughuli zinazofanywa hapo hususan katika kushughulikia shehena za mizigo kutoka Tanzania. Wakiongozwa na Balozi wa Tanzania nchini humo,…
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule amezitaka taasisi zinazofanya kazi ndani ya wilaya hiyo kuiga mfano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ya…
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege wa Shinyanga afanye kazi usiku na mchana ili kuhakikisha anakamilisha ujenzi wa uwanja huo ikiwemo ufungaji wa taa…
Na Dk. Reubeni Lumbagala Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni chama kikongwe nchini ambacho sasa kimetimiza miaka 48 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977. Ukongwe wa chama hiki, si tu katika umri…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za umma na binafsi kuiga mfano wa Benki ya NMB katika kuwekeza kwenye sekta ya elimu,…
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetumia shilingi trilioni 8.2 kugharamia wanafunzi tangu ilipoanzishwa. Amesema kuwa pia katika kipindi…
Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye ambaye alianza mgomo wa kula wiki iliyopita amekimbizwa hospitali jana jioni baada ya hali ya afya kuzorota. Hayo yameelezwa na mbunge mmoja mwenye…