PPAA mguu sawa kurasimisha matumizi moduli kanda ya Ziwa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewasihi wadau wa Ununuzi wa Umma Mikoa ya Kanda ya Ziwa kushiriki mafunzo ya matumizi ya moduli ya…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewasihi wadau wa Ununuzi wa Umma Mikoa ya Kanda ya Ziwa kushiriki mafunzo ya matumizi ya moduli ya…
Mbunge wa Mafinga na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Cosato Chumi (CCM) ametembelea TFS-Shamba la Miti Sao Hill na kuwataka wahifadhi kuendelea kutoa elimu…
Uganda inatarajiwa kuzindua awamu ya tatu ya utoaji leseni ya utafiti wa mafuta katika mwaka wa fedha unaoanza mwezi Julai. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati na Madini, Ruth Nankabirwa…
Maafisa nchini Korea Kusini wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol huku wafuasi wake wakiendelea kupiga kambi nje ya makazi…
Afisa wa polisi mlevi nchini Zambia amewaachilia washukiwa 13 kutoka kizuizini ili waende kusherehekea mwaka mpya. Inspekta wa upelelezi Titus Phiri alikamatwa baada ya kuwaachilia washukiwa hao kutoka kituo cha…
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Benki ya NMB kwa kuendelea kuunga mkono shughuli mbalimbali za Serikali yake,…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania kuhakikisha wanatumia nishati safi ya kupikia kama njia mahususi ya kutunza na kulinda mazingira pia kuokoa uharibifu wa misitu. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo…
Mazishi ya kitaifa ya Jimmy Carter, rais wa zamani wa Marekani aliyefariki Jumapili akiwa na umri wa miaka 100, yatafanyika katika Kanisa Kuu la Katoliki mjini Washington mnamo Januari 9,…
Mbunge wa Magu, Boniventura Kiswaga (CCM) amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutekeleza malengo ya bajeti inayotengwa kila mwaka kutokana na upatikanaji wa fedha kwenye miradi ya maendeleo kama…
OPARESHENI maalumu iliyofanywa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama imefanikisha kukamatwa magunia ya kufungia tumbaku maarufu kama majafafa yenye thamani…