Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Watu 2 wathibitika kuwa na ugonjwa wa Mpox nchini

Watu 2 wathibitika kuwa na ugonjwa wa Mpox nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Watu wawili wamethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox nchini Tanzania. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Afya, Jenista Mhagama kwenye taarifa kwa umma…

Continue ReadingWatu 2 wathibitika kuwa na ugonjwa wa Mpox nchini
Read more about the article Majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo SGR yakamilika

Majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo SGR yakamilika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 10, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema kuwa majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo, yaliyowasili nchini Desemba 2024, yamekamilika. Majaribio ya mabehewa hayo yaliyochukua mwezi…

Continue ReadingMajaribio ya mabehewa 264 ya mizigo SGR yakamilika
Read more about the article Mhandisi Mramba: Kuuza, kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi

Mhandisi Mramba: Kuuza, kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua umeme nchini Ethiopitia kupitia Kenya hadi Namanga…

Continue ReadingMhandisi Mramba: Kuuza, kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi
Read more about the article NMB watia saini makubaliano na NM-AIST kukuza na kuendeleza teknolojia

NMB watia saini makubaliano na NM-AIST kukuza na kuendeleza teknolojia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imesaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati (MoU) na Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) yanayolenga kutambua na kuendeleza…

Continue ReadingNMB watia saini makubaliano na NM-AIST kukuza na kuendeleza teknolojia
Read more about the article Rais Samia : Tanzania ni msimamizi mpango wa nishati safi Afrika

Rais Samia : Tanzania ni msimamizi mpango wa nishati safi Afrika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Arusha Rais Samia Suluhu Hassan  amesema mpango wa nishati safi kuwepo nchini, kumeifanya Tanzania kuwa msimamizi wa mpango huo maalum kwa Afrika. Amesema hayo wakati akizungumza  katika Kilele cha…

Continue ReadingRais Samia : Tanzania ni msimamizi mpango wa nishati safi Afrika
Read more about the article RC Mtaka: Rais Samia ameibeba sekta ya kilimo mabegani mwake 

RC Mtaka: Rais Samia ameibeba sekta ya kilimo mabegani mwake 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameibeba sekta ya kilimo kwa mafanikio makubwa katika miaka 4 ya utawala wake kwa kuhamasisha watu wengi…

Continue ReadingRC Mtaka: Rais Samia ameibeba sekta ya kilimo mabegani mwake 
Read more about the article Rais Mwinyi : EACOP ni kioo cha maendeleo sekta ya mafuta EAC

Rais Mwinyi : EACOP ni kioo cha maendeleo sekta ya mafuta EAC

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 9, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kati ya Tanzania…

Continue ReadingRais Mwinyi : EACOP ni kioo cha maendeleo sekta ya mafuta EAC
Read more about the article Samia: Tanzania imepiga hatua katika usawa wa kijinsia 

Samia: Tanzania imepiga hatua katika usawa wa kijinsia 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kupitia utekelezaji wa Ilani ya CCM, Serikali imepiga hatua kubwa katika kufanikisha…

Continue ReadingSamia: Tanzania imepiga hatua katika usawa wa kijinsia 
Read more about the article Biteko: Fursa kwa mtoto wa kike ianzie ngazi ya familia

Biteko: Fursa kwa mtoto wa kike ianzie ngazi ya familia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameitaka jamii kuongeza nguvu ya kumpa fursa ya elimu mtoto wa kike kuanzia…

Continue ReadingBiteko: Fursa kwa mtoto wa kike ianzie ngazi ya familia
Read more about the article Dk. Mwinyi ahamasisha EAC kuanzisha mfuko wa maendeleo ya petroli

Dk. Mwinyi ahamasisha EAC kuanzisha mfuko wa maendeleo ya petroli

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amezihamasisha nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa na Mifuko ya Maendeleo ya Petroli (Petroleum Fund) ambayo itasaidia…

Continue ReadingDk. Mwinyi ahamasisha EAC kuanzisha mfuko wa maendeleo ya petroli
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu