Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Wakandarasi waomba siku 90 ujenzi ofisi ya waziri mkuu, nishati

Wakandarasi waomba siku 90 ujenzi ofisi ya waziri mkuu, nishati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya ziara katika Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi majengo ya…

Continue ReadingWakandarasi waomba siku 90 ujenzi ofisi ya waziri mkuu, nishati
Read more about the article Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9

Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umesema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba 2024, vijiji vilivyounganishwa na umeme nchini vimefikia 12,301 kati ya vijiji 12,318 ambayo ni sawa na asilimia…

Continue ReadingUunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 99.9
Read more about the article Kombo: Maono ya Samia ni wananchi wasitibiwe nje

Kombo: Maono ya Samia ni wananchi wasitibiwe nje

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema, dhamira njema ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuipa kipaumbele Sekta ya Afya nchini…

Continue ReadingKombo: Maono ya Samia ni wananchi wasitibiwe nje
Read more about the article Waziri Ulega atoa saa 72 kurejesha daraja Gonja – Same

Waziri Ulega atoa saa 72 kurejesha daraja Gonja – Same

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega ametoa saa 72 kwa Wakala ya Barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Kilimanjaro kurejesha mawasiliano katika daraja la Gonja Mpirani. Hatua hiyo inafuatia kuvunjika kwa daraja…

Continue ReadingWaziri Ulega atoa saa 72 kurejesha daraja Gonja – Same
Read more about the article REA, TAIFA GAS kusambaza majiko ya gesi  16,275 kwa nusu bei

REA, TAIFA GAS kusambaza majiko ya gesi  16,275 kwa nusu bei

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma Kampuni ya Taifa Gas Limited kwa ajili ya kutekeleza mradi wa shilingi milioni 317.3 wa kusambaza majiko ya gesi 16,275…

Continue ReadingREA, TAIFA GAS kusambaza majiko ya gesi  16,275 kwa nusu bei
Read more about the article Ghana yazindua visa ya bila malipo kwa Waafrika wote

Ghana yazindua visa ya bila malipo kwa Waafrika wote

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amesema wamiliki wote wa pasipoti wa Kiafrika sasa wanaweza kuzuru Ghana bila kuhitaji visa. Rais huyo anayemaliza muda wake alitangaza mpango huo mwezi uliopita lakini…

Continue ReadingGhana yazindua visa ya bila malipo kwa Waafrika wote
Read more about the article JKT Queens yapangwa kundi A CAF

JKT Queens yapangwa kundi A CAF

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 5, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

TIMU ya Wanawake ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya JKT Queens, imepangwa kundi A katika mashindano ya CAF, ukanda wa CECAFA yatakayofanyika katika uwanja wa Azam Complex…

Continue ReadingJKT Queens yapangwa kundi A CAF
Read more about the article Wahamiaji 27 wafariki baada ya boti kupinduka pwani ya Tunisia

Wahamiaji 27 wafariki baada ya boti kupinduka pwani ya Tunisia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 3, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Wahamiaji 27 wakiwemo wanawake na watoto, wamefariki dunia wakati boti mbili zilipopinduka kwenye pwani katikati mwa Tunisia, huku watu 83 wakiwa wameokolewa.  Afisa wa ulinzi wa kiraia aliliambia shirika la…

Continue ReadingWahamiaji 27 wafariki baada ya boti kupinduka pwani ya Tunisia
Read more about the article Watuhumiwa 5 akiwemo diwani waburuzwa kortini mauaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Watuhumiwa 5 akiwemo diwani waburuzwa kortini mauaji ya Katibu wa CCM Kilolo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Watuhumiwa watano akiwamo katibu wa Mbunge wa Kilolo, Kefa Walles, Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi kupitia CCM wilaya ya Kilolo, Hedikosi Kimwaga, Diwani kata ya Nyanzwa, Boniface Ugwale maarufu kama…

Continue ReadingWatuhumiwa 5 akiwemo diwani waburuzwa kortini mauaji ya Katibu wa CCM Kilolo
Read more about the article Mtoto ajinyonga kwa kukosa nguo za sikukuu
RPC Katavi

Mtoto ajinyonga kwa kukosa nguo za sikukuu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mtoto Mwenye umri wa miaka nane Mkazi wa Uruira katika halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi amefariki dunia kwa kujinyonga huku chanzo kikidaiwa kuwa ni msongo wa mawazo baada ya kutonunuliwa…

Continue ReadingMtoto ajinyonga kwa kukosa nguo za sikukuu
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu