Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Serikali yabainisha mikakati ya kurejesha hadhi ya madini ya Tanzanite

Serikali yabainisha mikakati ya kurejesha hadhi ya madini ya Tanzanite

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 15, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Manyara Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali imejidhatiti kurudisha hadhi ya Tanzanite kwa kufanya minada ndani na nje ya nchi ili kuyaongezea thamani na wafanyabiashara waweze…

Continue ReadingSerikali yabainisha mikakati ya kurejesha hadhi ya madini ya Tanzanite
Read more about the article UNESCO yaridhishwa na hifadhi ya jiolojia ya Ngorongoro Lengai

UNESCO yaridhishwa na hifadhi ya jiolojia ya Ngorongoro Lengai

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 15, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Kikao cha Wajumbe wa Baraza la UNESCO la Jiopaki kilichofanyika tarehe 10 Desemba, 2024 kwa njia ya mtandao kimeridhishwa na shughuli za uhifadhi wa Jiolojia ya Ngorongoro Lengai ambapo NCAA…

Continue ReadingUNESCO yaridhishwa na hifadhi ya jiolojia ya Ngorongoro Lengai
Read more about the article Serikali kushirikisha vijana kupambana ma uhalifu, Bashungwa aonya

Serikali kushirikisha vijana kupambana ma uhalifu, Bashungwa aonya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 15, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema Wizara kupitia vyombo vya usalama na taasisi nyingine za Serikali zitashirikiana na Vijana ili kupata suluhu kwa baadhi ya changamoto…

Continue ReadingSerikali kushirikisha vijana kupambana ma uhalifu, Bashungwa aonya
Read more about the article Mbunge Byabato awafariji watoto 200 kupitia tamasha la Bukoba Festival 2024

Mbunge Byabato awafariji watoto 200 kupitia tamasha la Bukoba Festival 2024

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 15, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mbunge wa Bukoba Mjini, Wakili Stephen Byabato, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, wamewakutanisha watoto yatima 200 wanaoishi katika vituo vya watoto yatima Manispaa ya Bukoba kwa lengo la kuwafariji na…

Continue ReadingMbunge Byabato awafariji watoto 200 kupitia tamasha la Bukoba Festival 2024
Read more about the article Harmonize agonga kolabo na mastaa kibao

Harmonize agonga kolabo na mastaa kibao

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 14, 2024
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

NA JOSEPH SHALUWA  MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul 'Harmonize' ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka nchini Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho 'Messi". Katika kolabo hiyo, mbali na Harmonize,…

Continue ReadingHarmonize agonga kolabo na mastaa kibao
Read more about the article Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji”  X Blaq Diamond

Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji”  X Blaq Diamond

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 14, 2024
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

NA JOSEPH SHALUWA MSANII wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond. Ni kibao chenye mikong'osio…

Continue ReadingBruce Melodie adondosha “Niki Minaji”  X Blaq Diamond
Read more about the article TRC kununua vichwa vya treni vinavyotumia dizel, umeme

TRC kununua vichwa vya treni vinavyotumia dizel, umeme

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 13, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Ili kupata suluhisho la kusimama kwa treni itokeapo changamoto ya nishati ya umeme, Shirika la Reli Tanzania limefanya mchakato wa manunuzi ya vichwa vya treni vinavyotumia nishati za umeme na…

Continue ReadingTRC kununua vichwa vya treni vinavyotumia dizel, umeme
Read more about the article Tanzania na Indonesia zajadili fursa za uwekezaji nchini

Tanzania na Indonesia zajadili fursa za uwekezaji nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 13, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Timu ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi wa Kuchakata na Kusindika gesi asilia (LNG) imeendelea na ziara yake nchini Indonesia ya kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu utakelezaji wa miradi ya…

Continue ReadingTanzania na Indonesia zajadili fursa za uwekezaji nchini
Read more about the article Timu ya majadiliano ya mradi wa LNG yafanya ziara ya mafunzo Indonesia

Timu ya majadiliano ya mradi wa LNG yafanya ziara ya mafunzo Indonesia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 12, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Indonesia Timu ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (Government Negotiation Team – GNT-LNG) ipo katika ziara nchini Indonesia.  Ziara hiyo inalenga…

Continue ReadingTimu ya majadiliano ya mradi wa LNG yafanya ziara ya mafunzo Indonesia
Read more about the article Nyangumi asafiri kutoka Colombia hadi Tanzania ‘kusaka majike’

Nyangumi asafiri kutoka Colombia hadi Tanzania ‘kusaka majike’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 12, 2024
  • Post category:Uncategorized
  • Post comments:0 Comments

Nyangumi mwenye nundu amefanya uhamiaji mkubwa na wa kipekee kuwahi kurekodiwa huku wanasayansi wakisema huenda uhamaji huo umechochewa na mabadiliko ya tabia nchi. Dk. Ekaterina Kalashnikova kutoka kwa programu ya…

Continue ReadingNyangumi asafiri kutoka Colombia hadi Tanzania ‘kusaka majike’
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu