RAS Mwanza aipongeza Magu kupata hati inayoridhisha kwa miaka 3 mfululizo
Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Magu kwa kupata Hati inayoridhisha ya Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa miaka mitatu…
