Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article PIKA SMART yazinduliwa kuhamasisha matumizi nishati safi ya kupikia

PIKA SMART yazinduliwa kuhamasisha matumizi nishati safi ya kupikia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme inayokwenda na kaulimbiu ya PIKA SMART. Mha.…

Continue ReadingPIKA SMART yazinduliwa kuhamasisha matumizi nishati safi ya kupikia
Read more about the article Samia amteua Masaju kumrithi Profesa Juma
George Mcheche Masaju

Samia amteua Masaju kumrithi Profesa Juma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Masaju anachukua nafasi ya Prof. Ibrahim Hamis Juma, ambaye amestaafu…

Continue ReadingSamia amteua Masaju kumrithi Profesa Juma
Read more about the article Serikali yawasilisha bajeti ya Sh tril. 56

Serikali yawasilisha bajeti ya Sh tril. 56

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 12, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali ya shilingi trilioni 56.49 kwa mwaka 2025/26. “Makadirio ya matumizi ya Serikali ya shilingi trilioni 56.49…

Continue ReadingSerikali yawasilisha bajeti ya Sh tril. 56
Read more about the article Ajali ya ndege yaua zaidi ya watu 200 India

Ajali ya ndege yaua zaidi ya watu 200 India

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 12, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Zaidi ya watu 200 wamefariki baada ya ndege ya Air India iliyokuwa ikielekea London, ikiwa na abiria 242, kuanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka mji wa Ahmedabad magharibi mwa…

Continue ReadingAjali ya ndege yaua zaidi ya watu 200 India
Read more about the article TANESCO: Msiogope kupika kwa umeme ni gharama nafuu

TANESCO: Msiogope kupika kwa umeme ni gharama nafuu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Katika kuhakikisha elimu ya nishati safi ya kupikia inamfikia kila mtanzania, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange ametumia sehemu ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya umeme…

Continue ReadingTANESCO: Msiogope kupika kwa umeme ni gharama nafuu
Read more about the article NMB yakabidhi gawio la Bil. 68.1/- kwa Serikali, Msajili Hazina aipongeza

NMB yakabidhi gawio la Bil. 68.1/- kwa Serikali, Msajili Hazina aipongeza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM OFISI ya Msajili wa Hazina, imeipongeza Benki ya NMB kwa kukabidhi gawio la Sh. Bilioni 68.1 kwa Mfuko Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya…

Continue ReadingNMB yakabidhi gawio la Bil. 68.1/- kwa Serikali, Msajili Hazina aipongeza
Read more about the article Samia apokea gawio la Sh1 trilioni kutoka kwa mashirika 213

Samia apokea gawio la Sh1 trilioni kutoka kwa mashirika 213

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Samia Suluhu Hassan leo, Juni 10, 2025 amepokea kiasi cha Sh1.028 trilioni kama gawio na michango kutoka mashirika ya umma yaliyo chini ya…

Continue ReadingSamia apokea gawio la Sh1 trilioni kutoka kwa mashirika 213
Read more about the article Serikali yatenga bil. 43 kuimarisha michezo shuleni

Serikali yatenga bil. 43 kuimarisha michezo shuleni

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 10, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga Sh bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini na kati ya hizo, sh. bilioni 32 ni kwa ajili ya kuimarisha Chuo…

Continue ReadingSerikali yatenga bil. 43 kuimarisha michezo shuleni
Read more about the article CRDB yarudisha mpira TFF fedha za Yanga

CRDB yarudisha mpira TFF fedha za Yanga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 10, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

Benki CRDB ambao ndio wadhamini wakuu wa Kombe la Shirikisho imesema  ilishafanya malipo ya fedha mshindi wa msimu uliopita kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Kauli hiyo ya…

Continue ReadingCRDB yarudisha mpira TFF fedha za Yanga
Read more about the article Aliyegomea U-DC aangukia pua uchaguzi CWT
Leah Ulaya

Aliyegomea U-DC aangukia pua uchaguzi CWT

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

LEAH Ulaya aliyekuwa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ameshindwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho uliofanyika jana tarehe 9 Juni 2025. Ulaya aliyewahi kukataa uteuzi wa Rais wa Tanzania…

Continue ReadingAliyegomea U-DC aangukia pua uchaguzi CWT
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • …
  • 111
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu