Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article  Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikiwa na umeme

 Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikiwa na umeme

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 katika Jimbo la Arumeru Mashariki kati ya Vitongoji 330. Kapinga…

Continue Reading Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikiwa na umeme
Read more about the article Padri Kitima aadhimisha misa ya shukrani baada ya kutoka hospitali
Padri Dkt. Charles Kitima

Padri Kitima aadhimisha misa ya shukrani baada ya kutoka hospitali

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima ameongoza Adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa mara ya kwanza…

Continue ReadingPadri Kitima aadhimisha misa ya shukrani baada ya kutoka hospitali
Read more about the article DAWASA yaanza na ‘Pre-Paid Water Meter’ Kigamboni

DAWASA yaanza na ‘Pre-Paid Water Meter’ Kigamboni

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa utekelezaji wa matumizi ya mita za Malipo ya…

Continue ReadingDAWASA yaanza na ‘Pre-Paid Water Meter’ Kigamboni
Read more about the article Serikali yalifuta kanisa la Askofu Gwajima

Serikali yalifuta kanisa la Askofu Gwajima

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imetangaza kulifuta Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo…

Continue ReadingSerikali yalifuta kanisa la Askofu Gwajima
Read more about the article REA kusambaza mitungi 13,000  Shinyanga kwa bei chee

REA kusambaza mitungi 13,000  Shinyanga kwa bei chee

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Lake Gas Limited ambayo imepewa jukumu la kusambaza mitungi ya gesi 13,020 itakayouzwa kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika Mkoa…

Continue ReadingREA kusambaza mitungi 13,000  Shinyanga kwa bei chee
Read more about the article Waziri Kombo ateta na Rais wa Kosovo

Waziri Kombo ateta na Rais wa Kosovo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais wa Jamhuri ya Kosovo, Dkt. Vjosa Osmani Sadriu  amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo alipomtembelea Ikulu jijini…

Continue ReadingWaziri Kombo ateta na Rais wa Kosovo
Read more about the article Ujenzi barabara maweni yawanufaisha  wananchi Buseresere – Chato

Ujenzi barabara maweni yawanufaisha  wananchi Buseresere – Chato

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Geita Wananchi wa kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita wameeleza kunufaika na ujenzi wa barabara ya Maweni yenye urefu wa km 1.5 kwa kiwango cha changarawe.…

Continue ReadingUjenzi barabara maweni yawanufaisha  wananchi Buseresere – Chato
Read more about the article  Flightlink kuanza safari za ndege Arusha – Nairobi

 Flightlink kuanza safari za ndege Arusha – Nairobi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 2, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania imesema kuanzia tarehe 15 Juni 2025 Shirika la Ndege la Flightlink litaanzísha safari za moja kwa moja kutoka Arusha kwenda Nairobi na kurudi. Taarifa…

Continue Reading Flightlink kuanza safari za ndege Arusha – Nairobi
Read more about the article Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya afya ya kinywa na meno

Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya afya ya kinywa na meno

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 1, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imetoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza kwenye ujenzi wa viwanda vya kutengeneza vifaa tiba na dawa kwa ajili…

Continue ReadingSerikali yakaribisha wawekezaji sekta ya afya ya kinywa na meno
Read more about the article Vyama 14 vya siasa vyatangaza kushiriki uchaguzi mkuu

Vyama 14 vya siasa vyatangaza kushiriki uchaguzi mkuu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 1, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Vuguvugu la uchaguzi mkuu nchini linaendelea kupamba moto baada vyama 14 vya siasa vya upinzani kuungana na kuunda jukwaa maalumu kwa lengo la kuisisitizia Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na…

Continue ReadingVyama 14 vya siasa vyatangaza kushiriki uchaguzi mkuu
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • …
  • 111
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu