TPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’ kwa matumizi bora ya Tehama
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa tatu katika kundi la taasisi za umma zinazozingatia na kufuata miongozo na kanuni za Mamlaka ya Serikali…
Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa tatu katika kundi la taasisi za umma zinazozingatia na kufuata miongozo na kanuni za Mamlaka ya Serikali…
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga ameshindwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC). Katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkali uliofanyika leo Jumamosi, Februari…
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha Wanachama na Wananchi kujiandikisha na kujitokeza kwa Wingi kupiga Kura ili CCM ishinde kwa Kishindo.…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mbunge wa Tanga Mjini, Ummy Mwalimu (CCM) ametoa rai kwa wananchi wa jimbo hilo kujitoleza kwa wingi katika zoezi la kitaifa la uboreshaji wa daftari la…
Serikali ya Tanzania imesema haijaingia makubaliano na mwekezaji yeyote kwa sasa kwa ajili ya kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo. Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake kwa kuahidi kuendelea kuwekeza katika uvumbuzi wa kidijitali na kuongeza ubora wa huduma kwa wateja wake kwa kudhamiria kuimarisha…
Meneja wa Precision Air nchini Comoro, Mohamed Rajab Juma ameeleza kuwa safari za Shirika hilo nchini Comoro katika mji wa Moroni, zinashika nafasi ya pili kwa faida kati ya safari…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, ambao ni wauzaji na wasambazaji wa magari aina ya ISUZU nchini imezindua maonesho ya siku ya tatu ya magari…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameigazia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ihakikishe inatoa kandarasi za ujenzi na ukarabati wa barabara kwa wakandarasi wenye uwezo wa kujenga kwa viwango…
Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu, imeanza kusikiliza shauri lililowasilishwa mahakamni hapo na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo dhidi ya Rwanda, kuhusu mgogoro wa kivita wa muda mrefu mashariki…