Dk. Biteko ataka mamlaka za usafirishaji majini Afrika kushirikiana kuboresha huduma 

Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili kuimarisha usalama wa sekta ya usafirishaji majini na hivyo kuchochea maendeleo ya Uchumi katika nchi…

Continue ReadingDk. Biteko ataka mamlaka za usafirishaji majini Afrika kushirikiana kuboresha huduma 

Dk. Biteko asisitiza Watanzania kupiga kura  uchaguzi serikali za mitaa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko  amewahimiza  Watanzania kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Dk. Biteko ametoa rai hiyo  leo Novemba 25,2024 akiwa mkoani…

Continue ReadingDk. Biteko asisitiza Watanzania kupiga kura  uchaguzi serikali za mitaa

TPA kuwapunguzia kodi ya uhifadhi mizigo wahanga janga la ghorofa Kariakoo

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imesema itawapunguzia gharama za uhifadhi (storage fee) mizigo wahanga  wa jengo la ghorofa   liloporomoka katika soko  Kariakoo, Jijini Dar es Salaam tarehe…

Continue ReadingTPA kuwapunguzia kodi ya uhifadhi mizigo wahanga janga la ghorofa Kariakoo