Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article NMB yashiriki jukwaa la kujadili masuala ya maji

NMB yashiriki jukwaa la kujadili masuala ya maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 18, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB imeshiriki na kudhamini Jukwaa la Kujadili Masuala ya Maji lililofanyika jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea…

Continue ReadingNMB yashiriki jukwaa la kujadili masuala ya maji
Read more about the article Dkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka

Dkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Dk Damas Ndumbaro ameziagiza Bodi mbalimbali  za Wadhamini wa taasisi ambazo zimemaliza muda wake wa uongozi kufanya uchaguzi mara moja…

Continue ReadingDkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka
Read more about the article Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi

Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea Dira ya Tanzania 2025 ambayo inasisitiza…

Continue ReadingMikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi
Read more about the article INEC yawataka waendesha BVR Dar kufuata sheria

INEC yawataka waendesha BVR Dar kufuata sheria

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha Vifaa vya Bayometriki (BVR) kutekeleza majukumu yao vituoni kwa kufuata sharia, Kanuni…

Continue ReadingINEC yawataka waendesha BVR Dar kufuata sheria
Read more about the article DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakasi DAWASA

DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakasi DAWASA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon amefungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Akifungua kikao hicho katika…

Continue ReadingDC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakasi DAWASA
Read more about the article Baraza la vyama vya siasa lakemea upotoshaji wa ACT Wazalendo
Screenshot

Baraza la vyama vya siasa lakemea upotoshaji wa ACT Wazalendo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Baraza la Vyama vya Siasa nchini limekemea vikali upotoshaji wa wadau wenzao, kikiwemo Chama cha ACT WAZALENDO kilichochapisha vipeperushi vya kubagaza Baraza hilo kama njia ya kuharibu utendaji kazi wake…

Continue ReadingBaraza la vyama vya siasa lakemea upotoshaji wa ACT Wazalendo
Read more about the article DC Malinyi aita waliohama kijiji cha Ngombo kwenda kuchukua fidia

DC Malinyi aita waliohama kijiji cha Ngombo kwenda kuchukua fidia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Wakili Sebastian Waryuba amewataka wananchi waliohama kwa hiyari kutoka katika Kijiji cha Ngombo ambacho awali  kilikuwa ndani ya Pori la Akiba Kilombero…

Continue ReadingDC Malinyi aita waliohama kijiji cha Ngombo kwenda kuchukua fidia
Read more about the article NMB yabuni mfumo wa kidijitali wa kusimamia matumizi ya fedha za umma

NMB yabuni mfumo wa kidijitali wa kusimamia matumizi ya fedha za umma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Benki ya NMB, kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – TAMISEMI, imebuni na kuzindua mfumo wa kisasa wa kidijitali wenye lengo la kusaidia Mamlaka za Serikali…

Continue ReadingNMB yabuni mfumo wa kidijitali wa kusimamia matumizi ya fedha za umma
Read more about the article Waziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi

Waziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Sheria na Katiba Dkt.Damas Ndumbaro amewashangaa baadhi ya wadhamini wa taasisi, zikiwemo za kidini, ambao hawatimizi  majukumu yao kikamilifu kwa kuendelea kutumia mali…

Continue ReadingWaziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi
Read more about the article Wafanyakazi wanawake TPA watoa msaada hospitali za Temeke, Kigamboni
Screenshot

Wafanyakazi wanawake TPA watoa msaada hospitali za Temeke, Kigamboni

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAFANYAKAZI wanawake wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) wametoa msaada wa vifaa tiba kwa hospitali ya Wilaya ya Kigamboni na hospitali ya…

Continue ReadingWafanyakazi wanawake TPA watoa msaada hospitali za Temeke, Kigamboni
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu