Samia: Tusherehekee mwaka mpya kwa amani, utulivu
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kusherehekea Sikukuu za kumaliza mwaka na kuanza mwaka mpya kwa amani na salama. Pia, amewataka Watanzania wautumie mwaka 2026 kufanya kazi kwa bidii,…
Dkt. Samia: 2026 mwanzo utekelezaji wa dira
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 2026, ndipo Tanzania inaanza utekelezaji wa Dira yake ya Taifa ya Maendeleo mwaka 2050. Katika kipindi hicho, amesema Serikali itaendelea kutekeleza mkakati wa muda…
Dkt. Samia: Poleni wananchi kwa uhaba wa maji, 2026 utakwisha
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa wananchi baada ya kukabiliwa na uhaba wa maji, akisema umesababishwa na upungufu wa mvua katika kipindi cha miezi saba ya mwaka 2025 uliochochea…
Dk. Samia:2026 tumejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini
Wakati Watanzania wakiuanza mwaka mpya, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 2026 Serikali imejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini. Dkt Samia ameeleza hayo…
SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup
NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa Mashindano ya Mapinduzi Cup , unaobadili rasmi jina la…
Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imezitaka jamii zenye watoto walio chini ya umri wa miaka 18 na makundi mengine maalum yanayokabiliwa na changamoto za usimamizi wa mirathi kutoa taarifa kwa…
Balozi wa Palestina atembelea DAR-PC, ateta na uongozi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Balozi wa Palestina anayeiwakilisha nchi yake Tanzania, Salim Siam mapema leo Alhamisi Desemba 18, 2025, amefanya ziara katika Ofisi za Klabu ya Waandishi wa…
Papa alaani viongozi wa dini kuchochea migogoro ya nchi
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo, amelaani tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kutumia mamlaka na ushawishi wao kwa waumini kuhalalisha migogoro na migawanyiko ndani ya mataifa yao.…
Wazamiaji wasababisha Marekani ibane visa kwa Watanzania
SERIKALI ya Marekani imesema itadhibiti utoaji wa visa kwa Watanzania wanaokwenda nchini humo kutokana na raia wake kukithiri kwa kukaa zaidi ya muda uliopaswa (overstay). Kwa mujibu wa tamko la…
- Go to the previous page
- 1
- …
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- 16
- …
- 111
- Go to the next page
