Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article NMB yapongezwa kwa kusaidia ujenzi Shule ya Wasichana Kahimba

NMB yapongezwa kwa kusaidia ujenzi Shule ya Wasichana Kahimba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, ameitunuku Benki ya NMB cheti cha shukrani kwa mchango wake katika ujenzi wa Shule ya…

Continue ReadingNMB yapongezwa kwa kusaidia ujenzi Shule ya Wasichana Kahimba
Read more about the article Dk. Mpango ataka afrika kubuni njia bora uendelezaji rasilimali za nishati

Dk. Mpango ataka afrika kubuni njia bora uendelezaji rasilimali za nishati

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema kuwa matumizi ya nishati katika Bara la Afrika hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara  bado ni madogo ikilinganishwa na maeneo mengine kama Bara…

Continue ReadingDk. Mpango ataka afrika kubuni njia bora uendelezaji rasilimali za nishati
Read more about the article Waziri Mkuu aipongeza NMB, ikifuturisha wateja, watoto yatima Dar

Waziri Mkuu aipongeza NMB, ikifuturisha wateja, watoto yatima Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kuwatambua, kuwajali na kuwathamini watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu kwa namna inavyojitoa kuwafikia, kuona mahitaji na changamoto zao na…

Continue ReadingWaziri Mkuu aipongeza NMB, ikifuturisha wateja, watoto yatima Dar
Read more about the article Balozi Ulanga: Rais Samia ameleta mageuzi na kuing’arisha NFRA

Balozi Ulanga: Rais Samia ameleta mageuzi na kuing’arisha NFRA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Arusha Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya  Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA), Balozi John Ulanga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini Rais Dkt…

Continue ReadingBalozi Ulanga: Rais Samia ameleta mageuzi na kuing’arisha NFRA
Read more about the article Aliyetunga jina la Tanzania afariki dunia

Aliyetunga jina la Tanzania afariki dunia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mtu aliyetunga jina la taifa la Tanzania, Mohamed Iqbal Dar, amefariki dunia akiwa usingizini jijini Birmingham, Uingereza alikokuwa akiishi. Iqbal alishiriki katika shindano la kutafuta jina la Tanzania lililoandaliwa mwaka…

Continue ReadingAliyetunga jina la Tanzania afariki dunia
Read more about the article Tanzania yapokea faru weupe 18 kutoka Afrika Kusini

Tanzania yapokea faru weupe 18 kutoka Afrika Kusini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 18 kutoka nchini Afrika Kusini kwa…

Continue ReadingTanzania yapokea faru weupe 18 kutoka Afrika Kusini
Read more about the article Ujenzi barabara Ludewa- Lumbiji wapaisha bei ya tangawizi

Ujenzi barabara Ludewa- Lumbiji wapaisha bei ya tangawizi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 4, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Wananchi wa kata ya Lumbiji wilayani Kilosa mkoani Morogoro wameishukuru Serikali kupitia TARURA kuwajengea barabara ya Ludewa - Lumbiji yenye urefu wa Km 21.6. Wananchi hao…

Continue ReadingUjenzi barabara Ludewa- Lumbiji wapaisha bei ya tangawizi
Read more about the article Saashisha Mafuwe aapa kutatua changamoto vyama vya ushirika wilayani Hai

Saashisha Mafuwe aapa kutatua changamoto vyama vya ushirika wilayani Hai

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe ameapa kupambana na changamoto za vyama vya ushirika ambavyo vimekua ni kikwazo vya maendeleo katika wilaya hiyo. Saashisha amebainisha hayo katika ziara yake…

Continue ReadingSaashisha Mafuwe aapa kutatua changamoto vyama vya ushirika wilayani Hai
Read more about the article Majaliwa azindua NBC kiganjani, ahimiza taasisi za fedha kuoanisha mifumo

Majaliwa azindua NBC kiganjani, ahimiza taasisi za fedha kuoanisha mifumo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bw Kassim Majaliwa amezindua rasmi huduma za kidijitali za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) inayofahamika…

Continue ReadingMajaliwa azindua NBC kiganjani, ahimiza taasisi za fedha kuoanisha mifumo
Read more about the article Dk. Mpango awataka wananchi kuthamini mchango wa Serikali, aahidi donge nono kwa wanafunzi

Dk. Mpango awataka wananchi kuthamini mchango wa Serikali, aahidi donge nono kwa wanafunzi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi wa Kijiji cha Kasumo na Wilaya ya Buhigwe kutambua na kuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma…

Continue ReadingDk. Mpango awataka wananchi kuthamini mchango wa Serikali, aahidi donge nono kwa wanafunzi
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu