Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Samia kujenga Machinga Complex Iringa

Samia kujenga Machinga Complex Iringa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Kama ulidhani Machinga Complex ni stahiki ya Dar es Salaam pekee, jengo kama hilo litakuwepo pia katika Mkoa wa Iringa kama ilivyoahidiwa na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…

Continue ReadingSamia kujenga Machinga Complex Iringa
Read more about the article Samia: Tanzania namba mbili uzalishaji mahindi Afrika

Samia: Tanzania namba mbili uzalishaji mahindi Afrika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Hatua ya Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo na mbolea, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema imeifanya Tanzania kushika nafasi ya pili kwa uzalishaji wa mahindi Afrika. Kwa mujibu wa Dkt…

Continue ReadingSamia: Tanzania namba mbili uzalishaji mahindi Afrika
Read more about the article DC Msando aridhishwa uzalishaji maji Ruvu Juu, atoa maagizo DAWASA

DC Msando aridhishwa uzalishaji maji Ruvu Juu, atoa maagizo DAWASA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kuona na kujiridhisha hali ya uzalishaji wa maji katika…

Continue ReadingDC Msando aridhishwa uzalishaji maji Ruvu Juu, atoa maagizo DAWASA
Read more about the article Samia: Tuvunje makundi, tusiishiwe ‘pawa’

Samia: Tuvunje makundi, tusiishiwe ‘pawa’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mgombea wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amewataka wanachama wa chama hicho mkoani Iringa, wavunje makundi yaliyosababishwa na michakato ya uteuzi wa ndani, ili kwenda…

Continue ReadingSamia: Tuvunje makundi, tusiishiwe ‘pawa’
Read more about the article NMB yatambuliwa katika maadhimisho ya miaka 10 ya JKCI

NMB yatambuliwa katika maadhimisho ya miaka 10 ya JKCI

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

IMEELEZWA kuwa Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeokoa zaidi ya Sh. bilioni 172 ambazo awali zilitumika kupeleka wagonjwa wa moyo nje ya nchi.  Kauli…

Continue ReadingNMB yatambuliwa katika maadhimisho ya miaka 10 ya JKCI
Read more about the article Samia atangaza kunyang’anya mashamba kampuni za MELT, WATCO

Samia atangaza kunyang’anya mashamba kampuni za MELT, WATCO

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kuzinyanga’nya mashamba ya Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania (METL) na Watco ili kuyagawa kwa vyama vya…

Continue ReadingSamia atangaza kunyang’anya mashamba kampuni za MELT, WATCO
Read more about the article Samia: Msishirikiane na waovu kuuza vitu vya ruzuku

Samia: Msishirikiane na waovu kuuza vitu vya ruzuku

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo kwani matokeo ya ruzuku hizo yamekuwa ni makubwa hususani kwa Mkoa…

Continue ReadingSamia: Msishirikiane na waovu kuuza vitu vya ruzuku
Read more about the article 10 wadakwa kwa kutumia namba  ‘SSH 25 30’

10 wadakwa kwa kutumia namba  ‘SSH 25 30’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 4, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za kukutwa wakitumia namba za SSH 2530 kwenye magari. Kukamatwa kwa watuhumiwa hao ni sehemu ya…

Continue Reading10 wadakwa kwa kutumia namba  ‘SSH 25 30’
Read more about the article EACOP, BBN wafadhili mafunzo ya ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani

EACOP, BBN wafadhili mafunzo ya ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 4, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN) imetoa ufadhili wa mafunzo stadi kwa  wakazi 12 wa Kata…

Continue ReadingEACOP, BBN wafadhili mafunzo ya ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Read more about the article Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA

Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na Kaimu Mkurugenzi…

Continue ReadingMsajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • …
  • 111
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu