Samia kujenga Machinga Complex Iringa
Kama ulidhani Machinga Complex ni stahiki ya Dar es Salaam pekee, jengo kama hilo litakuwepo pia katika Mkoa wa Iringa kama ilivyoahidiwa na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…
Kama ulidhani Machinga Complex ni stahiki ya Dar es Salaam pekee, jengo kama hilo litakuwepo pia katika Mkoa wa Iringa kama ilivyoahidiwa na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…
Hatua ya Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo na mbolea, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema imeifanya Tanzania kushika nafasi ya pili kwa uzalishaji wa mahindi Afrika. Kwa mujibu wa Dkt…
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kuona na kujiridhisha hali ya uzalishaji wa maji katika…
Mgombea wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amewataka wanachama wa chama hicho mkoani Iringa, wavunje makundi yaliyosababishwa na michakato ya uteuzi wa ndani, ili kwenda…
IMEELEZWA kuwa Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeokoa zaidi ya Sh. bilioni 172 ambazo awali zilitumika kupeleka wagonjwa wa moyo nje ya nchi. Kauli…
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kuzinyanga’nya mashamba ya Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania (METL) na Watco ili kuyagawa kwa vyama vya…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendelea kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo kwani matokeo ya ruzuku hizo yamekuwa ni makubwa hususani kwa Mkoa…
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za kukutwa wakitumia namba za SSH 2530 kwenye magari. Kukamatwa kwa watuhumiwa hao ni sehemu ya…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN) imetoa ufadhili wa mafunzo stadi kwa wakazi 12 wa Kata…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na Kaimu Mkurugenzi…