DAWASA yakutana na wananchi Msakuzi kupata hatma huduma ya maji
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekutana na wananchi wa eneo la Msakuzi kwa Lubaba, Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kufahamu mipango na maendeleo…
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekutana na wananchi wa eneo la Msakuzi kwa Lubaba, Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kufahamu mipango na maendeleo…
By Staff Reporter- Havana Tanzania's Minister of Foreign Affairs and Cooperation of East Africa ,Mr. Mahmoud Thabit Kombo, has today met with Cuban Minister of Foreign Affairs, Bruno Rodríguez Parrilla.…
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, amewataka Maafisa Utamaduni wa Wilaya na Mikoa kuhakikisha matamasha ya Utamaduni yanayofanyika katika maeneo yao yanafanikiwa na kuleta ushawishi…
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Tanzania imeiomba Kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) idumishe utaratibu wa kutoa mafunzo ya juu elimu kwa Watanzania ili…
KATIKA kuongeza uelewa wa masuala ya fedha kwa maendeleo na ukuaji kiuchumi kwa Mtanzania mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla, Benki ya NMB imezindua Programu Endelevu ya Elimu ya Fedha…
NA MWANDISHI WETU Kiboko aliyehatarisha maisha ya watu katika Kijiji cha Ilungu Kata ya Nyigogo wilayani Magu mkoani Mwanza, ameuawa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) baada ya…
NA MWANDISHI WETU RAIS Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete, amekiri kuvutiwa na mchango mkubwa wa Benki ya NMB wa Sh. bilioni 1 kati ya Sh. Bil. 2.71 zilizokusanywa wakati wa hafla…
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kumalizika kwa mkataba wa ununuzi wa umeme kutoka Kampuni ya uzalishaji umeme kwa njia ya Gesi asilia ya Songas. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa na…
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amekabidhi hundi yenye thamani ya Sh Milioni 75 iliyotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwa ni…
IMEELEZWA kuwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa kipaumbele kwenye ujenzi wa miradi ya nishati jadidifu nchini ili kusaidia utunzaji wa mazingira, kuzalisha umeme wa uhakika na kutoa ajira kupitia…