Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Hali ya huduma ya maji Dar, Pwani ni shwari

Hali ya huduma ya maji Dar, Pwani ni shwari

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 6, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wameridhishwa na hali ya huduma ya maji katika maeneo yao inayozidi kuimarika na hawana hofu juu ya usalama…

Continue ReadingHali ya huduma ya maji Dar, Pwani ni shwari
Read more about the article EWURA yatangaza bei kikomo ya petroli, dizeli

EWURA yatangaza bei kikomo ya petroli, dizeli

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 5, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kwa Tanzania Bara zitakazotumika kuanzia leo tarehe 5 Novemba 2025 ambapo…

Continue ReadingEWURA yatangaza bei kikomo ya petroli, dizeli
Read more about the article Rais Samia amuapisha Mwanasheria mkuu wa Serikali
Hamza Johari

Rais Samia amuapisha Mwanasheria mkuu wa Serikali

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa leo Jumatano, Novemba 5, 20254, Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma na kuhudhuriwa na…

Continue ReadingRais Samia amuapisha Mwanasheria mkuu wa Serikali
Read more about the article Haya hapa matokeo darasa la saba 2025, ufaulu waongezeka
Profesa Said Ally Mohamed

Haya hapa matokeo darasa la saba 2025, ufaulu waongezeka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2025 leo, Jumatano Novemba 5, 2025, ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na…

Continue ReadingHaya hapa matokeo darasa la saba 2025, ufaulu waongezeka
Read more about the article Zuio la kutotoka nje baada ya saa 12 laondolewa Dar
IGP Wambura

Zuio la kutotoka nje baada ya saa 12 laondolewa Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, ametangaza rasmi kuondolewa kwa amri iliyokuwa imetolewa tarehe 29 Oktoba 2025 kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kufuatia maelekezo…

Continue ReadingZuio la kutotoka nje baada ya saa 12 laondolewa Dar
Read more about the article Rais Samia awaonya wanaoshabikia vurugu, uvunjifu amani

Rais Samia awaonya wanaoshabikia vurugu, uvunjifu amani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaoshabikia uvunjifu wa amani nchini, akisema vurugu huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, lakini mazungumzo huzaa mshikamano. Msingi wa onyo hilo la mkuu…

Continue ReadingRais Samia awaonya wanaoshabikia vurugu, uvunjifu amani
Read more about the article Rais Samia: Baadhi ya waliokamatwa kuivuruga amani wanatoka nje ya Tanzania

Rais Samia: Baadhi ya waliokamatwa kuivuruga amani wanatoka nje ya Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:November 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kati ya waliokamatwa kuhusika katika matukio la uvunjifu wa amani na uharibifu wa miundombinu nchini, wapo wanaotoka nje ya Tanzania. Amesema kilichotokea hakiendani na taswira…

Continue ReadingRais Samia: Baadhi ya waliokamatwa kuivuruga amani wanatoka nje ya Tanzania
Read more about the article Hatua kwa hatua Uchaguzi Mkuu 2025

Hatua kwa hatua Uchaguzi Mkuu 2025

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu Uchaguzi Mkuu wa kumchagua Rais, wabunge na madiwani umefanyika nchini, huku kukishuhudiwa misururu ya mamia ya wananchi waliopanga mistari kusubiri kupiga kura. Licha ya Tume Huru ya…

Continue ReadingHatua kwa hatua Uchaguzi Mkuu 2025
Read more about the article Samia: Mapambano ya rushwa nitayapa mkazo wa pekee

Samia: Mapambano ya rushwa nitayapa mkazo wa pekee

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amehitimisha kampeni zake, huku akiahidi mapambano dhidi ya rushwa ni miongoni mwa mambo atakayoyapa…

Continue ReadingSamia: Mapambano ya rushwa nitayapa mkazo wa pekee
Read more about the article Asilimia 90 ya Watanzania wamefuatilia kampeni za Samia

Asilimia 90 ya Watanzania wamefuatilia kampeni za Samia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, zimebakiza siku moja kutamatishwa, huku Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akiweka rekodi ya mikutano yake kufuatiliwa…

Continue ReadingAsilimia 90 ya Watanzania wamefuatilia kampeni za Samia
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • …
  • 111
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu