Hali ya huduma ya maji Dar, Pwani ni shwari
Wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wameridhishwa na hali ya huduma ya maji katika maeneo yao inayozidi kuimarika na hawana hofu juu ya usalama…
Wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wameridhishwa na hali ya huduma ya maji katika maeneo yao inayozidi kuimarika na hawana hofu juu ya usalama…
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kwa Tanzania Bara zitakazotumika kuanzia leo tarehe 5 Novemba 2025 ambapo…
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa leo Jumatano, Novemba 5, 20254, Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma na kuhudhuriwa na…
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2025 leo, Jumatano Novemba 5, 2025, ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na…
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, ametangaza rasmi kuondolewa kwa amri iliyokuwa imetolewa tarehe 29 Oktoba 2025 kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kufuatia maelekezo…
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaoshabikia uvunjifu wa amani nchini, akisema vurugu huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, lakini mazungumzo huzaa mshikamano. Msingi wa onyo hilo la mkuu…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kati ya waliokamatwa kuhusika katika matukio la uvunjifu wa amani na uharibifu wa miundombinu nchini, wapo wanaotoka nje ya Tanzania. Amesema kilichotokea hakiendani na taswira…
Na Mwandishi Wetu Uchaguzi Mkuu wa kumchagua Rais, wabunge na madiwani umefanyika nchini, huku kukishuhudiwa misururu ya mamia ya wananchi waliopanga mistari kusubiri kupiga kura. Licha ya Tume Huru ya…
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amehitimisha kampeni zake, huku akiahidi mapambano dhidi ya rushwa ni miongoni mwa mambo atakayoyapa…
Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, zimebakiza siku moja kutamatishwa, huku Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akiweka rekodi ya mikutano yake kufuatiliwa…