Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katika hali inayoonesha bidhaa zake kukubalika na watanzania wengi kampuni ya Norland Tanzania ambayo makao makuu yake yapo nchini Chna, imejipanga kujitanua na kuhakikisha…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katika hali inayoonesha bidhaa zake kukubalika na watanzania wengi kampuni ya Norland Tanzania ambayo makao makuu yake yapo nchini Chna, imejipanga kujitanua na kuhakikisha…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha uongozi wake katika masuala ya rasilimali watu baada ya kutunukiwa tuzo maalum na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)…
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na…
Benki ya NMB imesema itaendelea kuwekeza kwenye mifumo ya kidijitali ili kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa Watanzania, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha ujumuishaji wa kifedha na…
Na Mwandishi Wetu, Lindi Wakulima kutoka wilaya za Newala na Ruangwa mkoani Mtwara wamehitimu mafunzo ya kuongeza thamani ya zao la korosho, yaliyoandaliwa na NMB Foundation kwa ushirikiano na Rabo…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amezindua zoezi la Chanjo ya Mifugo katika Kijiji cha Mokilal Tarafa ya Ngorongoro Mkoani Arusha ikiwa ni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kinara namba moja wa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia Afrika na Mawaziri wanaoshughulikia masuala…
ULIMWENGU wa soka imepatwa na huzuni baada mshambuliaji wa Kimataifa wa Ureno na Klabu ya Liverpool ya England, Diogo Jota (28), kufariki dunia katika ajali mbaya ya gari. Kaka yake…
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa zaidi ya wanachama zaidi ya 20,000 wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi za ubunge na udiwani. Taarifa hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na…
Na Mwandishi Wetu, Kigoma IMEELEZWA kuwa matumizi ya nishati ya umeme katika mkoa wa Kigoma yameongezeka kutoka Megawati 17 hadi kufikia Megawati 24 baada mkoa huo kuunganishwa kwenye Gridi ya…