Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Historia nyingine yaandikwa mradi wa JNHPP, Biteko akemea hujuma

Historia nyingine yaandikwa mradi wa JNHPP, Biteko akemea hujuma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 11, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Leo Tanzania imeandika historia nyingine katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya umeme baada ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko kuzindua utekelezaji wa mradi wa njia…

Continue ReadingHistoria nyingine yaandikwa mradi wa JNHPP, Biteko akemea hujuma
Read more about the article  REA yaendesha mafunzo na kugawa majiko ya gesi kwa makundi maalum Bukombe

 REA yaendesha mafunzo na kugawa majiko ya gesi kwa makundi maalum Bukombe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 11, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wakala wa Nishati Vijijini (REA); tarehe 10 Desemba, 2024 imeendesha mafunzo maalum kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kushirikiana na Taasisi ya Maendeleo ya Viziwi Tanzania (TAMAVITA) na…

Continue Reading REA yaendesha mafunzo na kugawa majiko ya gesi kwa makundi maalum Bukombe
Read more about the article DC Nassari aahidi ushirikiano vituo vya malezi kwa watoto

DC Nassari aahidi ushirikiano vituo vya malezi kwa watoto

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 11, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

MKUU wa Wilaya ya Magu, Joshua Nassari amepongeza kazi nzuri ya malezi ya watoto inayofanywa na Shirika la Mavuno Village pamoja na JBFC yaliyopo katika Kijiji cha Kitongosima kata ya…

Continue ReadingDC Nassari aahidi ushirikiano vituo vya malezi kwa watoto
Read more about the article Ushirikiano Tanesco, sekta binafsi ‘moshi mweupe’

Ushirikiano Tanesco, sekta binafsi ‘moshi mweupe’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 11, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania  (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amesema Serikali inaendelea kuangalia njia bora ya kushirikisha sekta binafsi katika ujenzi na uendeshaji wa mifumo ya usafirishaji wa…

Continue ReadingUshirikiano Tanesco, sekta binafsi ‘moshi mweupe’
Read more about the article Maofisa ubalozi Uganda ‘wakunwa’ na maendeleo ya mradi wa EACOP nchini

Maofisa ubalozi Uganda ‘wakunwa’ na maendeleo ya mradi wa EACOP nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 11, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Tanga Msafara wa maofisa wa ubalozi wa Uganda hapa nchini ukiongozwa na Balozi Kanali (mstaafu), Fred Mwesigye umepongeza kasi ya utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta…

Continue ReadingMaofisa ubalozi Uganda ‘wakunwa’ na maendeleo ya mradi wa EACOP nchini
Read more about the article DAWASA waanza matengenezo mtambo wa Ruvu Juu

DAWASA waanza matengenezo mtambo wa Ruvu Juu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 11, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeanza utekelezaji wa maandalizi ya matengenezo ya dharura ili kuzuia uvujaji wa maji katika maungio ya bomba la inchi…

Continue ReadingDAWASA waanza matengenezo mtambo wa Ruvu Juu
Read more about the article Mradi wa EACOP kuwawezesha watu wa asili katika kilimo na ufugaji

Mradi wa EACOP kuwawezesha watu wa asili katika kilimo na ufugaji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 9, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Arusha  Mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki ( EACOP ) umeanzisha mpango wa kuwasaidia waguswa wa mradi huo wanaoishi pembezoni mwa miji, maarufu kama…

Continue ReadingMradi wa EACOP kuwawezesha watu wa asili katika kilimo na ufugaji
Read more about the article Uwekezaji wavutia meli kubwa China kutia nanga Bandari Dar 

Uwekezaji wavutia meli kubwa China kutia nanga Bandari Dar 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 9, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.  Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeendelea kupokea meli kubwa za  mizigo katika bandari yake ya Dar es Salaam, ikiwa ni  sehemu ya mafanikio baada…

Continue ReadingUwekezaji wavutia meli kubwa China kutia nanga Bandari Dar 
Read more about the article Magu watakiwa kuchangamkia fursa za ufugaji wa sungura

Magu watakiwa kuchangamkia fursa za ufugaji wa sungura

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 7, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa ya  ufugaji wa sungura kutokana na kuwapo kwa soko la wanyama hao nchini na  duniani. Jackline Charles Kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Magu Mohamed Ramadhan Kyande  wakati…

Continue ReadingMagu watakiwa kuchangamkia fursa za ufugaji wa sungura
Read more about the article  REA watakiwa kuongeza ubunifu, kuzingatia maadili ya utumishi wa umma

 REA watakiwa kuongeza ubunifu, kuzingatia maadili ya utumishi wa umma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 7, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa  kufanya kazi kwa uadilifu, ubunifu, juhudi, maarifa na upendo ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia…

Continue Reading REA watakiwa kuongeza ubunifu, kuzingatia maadili ya utumishi wa umma
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • …
  • 60
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu