Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Samia aagiza polisi kukomesha matukio ya watu kupotea

Samia aagiza polisi kukomesha matukio ya watu kupotea

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Rais Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi kuendelea na jitihada kukomesha matukio ya uhalifu ikiwemo watu kupotea yanayoripotiwa sehemu mbalimbali nchini. Amesema kuwa Serikali itaendelea kuliimarisha Jeshi la Polisi…

Continue ReadingSamia aagiza polisi kukomesha matukio ya watu kupotea
Read more about the article TARURA Kigamboni yaanza ujenzi wa barabara za lami KM 42

TARURA Kigamboni yaanza ujenzi wa barabara za lami KM 42

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji…

Continue ReadingTARURA Kigamboni yaanza ujenzi wa barabara za lami KM 42
Read more about the article TRC yaongeza safari za treni Dodoma – Dar es salaam

TRC yaongeza safari za treni Dodoma – Dar es salaam

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni kati ya tarehe 27 Juni, 2025 na 28 Juni, 2025 kutoka Dodoma kwenda Dar…

Continue ReadingTRC yaongeza safari za treni Dodoma – Dar es salaam
Read more about the article Samia aipongeza Yanga kwa kuibutua Simba

Samia aipongeza Yanga kwa kuibutua Simba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani
  • Post comments:0 Comments

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Yanga Sc. kwa kufanikiwa kutetea taji lake la Ligi Kuu Tanzania Bara  kwa mara ya nne mfululizo baada ya kuishindilia Simba SC. goli 2-0. Yanga imefanikiwa…

Continue ReadingSamia aipongeza Yanga kwa kuibutua Simba
Read more about the article Watanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo

Watanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe 25 Juni 2025, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la…

Continue ReadingWatanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo
Read more about the article Rwanda yakana Kagame kuwa mahututi
Rais wa Rwanda, Paul Kagame

Rwanda yakana Kagame kuwa mahututi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Jeshi la Rwanda limesema kuwa madai ya kwamba afya ya Rais Paul Kagame iko hatarini sana ni habari za hongo. Kauli hiyo imekuja kutokana na taarifa mbalimbali kuibuka kuhusu afya…

Continue ReadingRwanda yakana Kagame kuwa mahututi
Read more about the article Watu 700 kupatiwa matibabu ya macho Rungwe

Watu 700 kupatiwa matibabu ya macho Rungwe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Mbeya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Dkt. Diocles Ngaiza amesema zaidi ya wagonjwa 700 watapatiwa matibabu ya macho katika kambi ya matibabu ya wagonjwa…

Continue ReadingWatu 700 kupatiwa matibabu ya macho Rungwe
Read more about the article Balozi Nchimbi: Maoni kuhusu amani hayatapuuzwa

Balozi Nchimbi: Maoni kuhusu amani hayatapuuzwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga kuhakikisha Tanzania inaendelea kudumisha amani na utulivu, hayajawahi kupuuzwa na hayatapuuzwa. Aidha, Balozi…

Continue ReadingBalozi Nchimbi: Maoni kuhusu amani hayatapuuzwa
Read more about the article Sekta ya nishati yachangia asilimia 14.4 pato la Taifa

Sekta ya nishati yachangia asilimia 14.4 pato la Taifa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha…

Continue ReadingSekta ya nishati yachangia asilimia 14.4 pato la Taifa
Read more about the article Bilioni 35 kupeleka nishati safi magerezani, mitungi 653 kugawiwa Tanga

Bilioni 35 kupeleka nishati safi magerezani, mitungi 653 kugawiwa Tanga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuwezesha, kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa watumishi wa magereza na wananchi ili kufikia…

Continue ReadingBilioni 35 kupeleka nishati safi magerezani, mitungi 653 kugawiwa Tanga
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • …
  • 111
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu